Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Watoto wao ni viongizi wa CDM? Maisha binafsi ya mtoto inamhusu nini mzazi? Wewe mjane akili ilishagakurukaga siku nyingi. Legacy fake itakutoa nyongo mwaka huu.
 
Usaliti ni jambo baya zaidi.

Kutorosha wake na watoto kwa Rushwa ya Ushoga ni hatari mno
Sasa mzungu akupe wewe mwafrica pesa ili ueneze ushoga wakati kila kitu unanunua kwao si angekuwekea tu humo ukala ukawa shoga mnakariri wapuuzi nyie
 
Sasa mzungu akupe wewe mwafrica pesa ili ueneze ushoga wakati kila kitu unanunua kwao si angekuwekea tu humo ukala ukawa shoga mnakariri wapuuzi nyie
Ndiyo maana wote walioficha watoto wao huko ni mashoga
 
Ndiyo maana wote walioficha watoto wao huko ni mashoga
Hata watoto wa MALECELA ni mashoga? Viongozi wote wa ccm watoto wao ni mashoga basi kama ni hivyo! Nitajie mtoto wa kiongozi japo mmoja anaesoma Nyarugusu sec.
Ushamba na athar za umasikini zinakusumbua wewe
 
Hata watoto wa MALECELA ni mashoga? Viongozi wote wa ccm watoto wao ni mashoga basi kama ni hivyo! Nitajie mtoto wa kiongozi japo mmoja anaesoma Nyarugusu sec.
Ushamba na athar za umasikini zinakusumbua wewe
Amemanisha viongozi wa Chadema ni mashoga
 
Ukiwa masikini alafu hauna exposure alafu ukawa huna elimu na unajifanya mjuaji ni tatizo kubwa sana
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
CCM wana majumba New York, Dubai n.k
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
 
Hata anaelewa basi? Yaani watu wasipeleke watoto wao kusoma kisa wataambiwa mashoga! Watz wote waliosoma sheria hajawaona yy yupo na lisu tu. Watt wa wana ccm wengine hata kiswahilo hawajui mtu punguani huyu
Jikite kwenye hoja
 
Hawa watu ni feki tupu tena ni wajinga maana hawajui ni wajinga. Kwa ujinga wao wanafikiri hizo harakati zao kwa kulipwa ujira nje ndio uzalendo.

Hebu fikiri, mtu kama mbowe na lisu wanasema wazi kwa kuona fahari watoto wao ni raia wa marekani. Lema naye kwa fahari anatuambia wanawe ni wamarekani. Hivi viongozi kama hao kitu gani kiwafanye kujali mstakabali wa nchi ya tanzania?

Lissu baada ya kushtuka kwamba sio sahihi kuringia mwanae kua ni raia wa marekani akajidai eti ni uamuz wa wanawe wenyewe. Kwanza mtoto mdogo anaongozwa maamuzi na mzazi. Na mtoto wa kiongozi anayejidai ni mkubwa kwa malezi ya wazazi hawezi kuamua kua raia wa nchi nyingine.
Kwa ufupi iogopeni chadema wandugu hao ni mamluki.
Ulitaka wawe raia wa hapa Ili muwaue kama mlivyomuua Mawazo au Ben Saanane? Stupid
 
Back
Top Bottom