SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kumbe na wewe ulijifunzia kutafunwa huko hapa umekuja kusambaza upendo tu,hongera zakoWacha wakawe mashoga huko washnz San
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe ulijifunzia kutafunwa huko hapa umekuja kusambaza upendo tu,hongera zakoWacha wakawe mashoga huko washnz San
[emoji38][emoji38][emoji38]Bado hajatoka WASAFI amemsindikiza Lema wa Canada kushoot kipindi [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni wajinga sana hao watuWao ni kiguu na njia tu kwa mabwana zao wa magharibi [emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa kweli yule "mgonjwa wa maadili" Mdude ndiye mshauri wa kisiasa wa God bless Lema unategemea nini ?!!!![emoji1787]Ni wajinga sana hao watu
Asante Mkuu.Kati ya kuwa mpinzani na watoto sio "RAIA WA TANZANIA" au kuwa mtanzania na watoto wa tanzania, tena waziri na kufanya "UFISADI WA TRILLIONI 1.5" mpaka rais anakasirika na kutukana kukuita mpumbavu (Stupid)!.
Jambo lipi baya zaidi?
Njoo na hojaAsante Mkuu.
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.
Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Lissu aliwahi kukuingilia kinyume na maumbile sio bure.Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.
Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Lisu ameingiliwa sana na AmsterdamLissu aliwahi kukuingilia kinyume na maumbile sio bure.
Mtu aliyepata ziro form six , akashindwa kujenga ofisi ya chama chake kwa miaka 30 atakuwa na uwezo wa kufanya ziara A. Kusini?Huyu baba yake alikuwa mwanachama wa Chadema?
Hali hiyo ya ofic hata kabla ya wao kukimbilia ughaibuni kwahiyo mleta mada acha ujinga.Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.
Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Wewe ni mjinga kipimo cha poyoyo!Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.
Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Tatizo umezaliwa kwenye familia maskini,kupata zero sio kufeli maishaMtu aliyepata ziro form six , akashindwa kujenga ofisi ya chama chake kwa miaka 30 atakuwa na uwezo wa kufanya ziara A. Kusini?
Acheni propaganda.
Ongea kwa kuweka akiba ya maneno. Je unajua viongozi wangapi wa chama tawala wana watoto walio na urai wa nje ya Tanzania?Hawa watu ni feki tupu tena ni wajinga maana hawajui ni wajinga. Kwa ujinga wao wanafikiri hizo harakati zao kwa kulipwa ujira nje ndio uzalendo.
Hebu fikiri, mtu kama mbowe na lisu wanasema wazi kwa kuona fahari watoto wao ni raia wa marekani. Lema naye kwa fahari anatuambia wanawe ni wamarekani. Hivi viongozi kama hao kitu gani kiwafanye kujali mstakabali wa nchi ya tanzania?
Lissu baada ya kushtuka kwamba sio sahihi kuringia mwanae kua ni raia wa marekani akajidai eti ni uamuz wa wanawe wenyewe. Kwanza mtoto mdogo anaongozwa maamuzi na mzazi. Na mtoto wa kiongozi anayejidai ni mkubwa kwa malezi ya wazazi hawezi kuamua kua raia wa nchi nyingine.
Kwa ufupi iogopeni chadema wandugu hao ni mamluki.
Ongea kwa kutafakari zaidi. Je unajua viongozi wa ngapi wa chama tawala na serikali watoto wao wana urai wa nje? Tangu lini uliambiwa kuwa na uraia wa nchi nyingine ni kosa kisheria?Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.
Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Tutajie hao viongoziOngea kwa kuweka akiba ya maneno. Je unajua viongozi wangapi wa chama tawala wana watoto walio na urai wa nje ya Tanzania?
Ni washamba sana alafuSio suala la kukosa ofisi tu, ila sio chama kabisa cha kuipa hata jimbo. Hawanaga cha maana wanafanya. Ni wachumia tumbo tu kama mashetani wa ccm.
CCM NI VILAZATuigope CHADEMA....
CHADEMA haifai.....
Hawa akina Lissu na Mbowe wanaweza KUTUUZA NA KUIIUZA NCHI YETU.....
Kule katika mashamba ya watumwa Marekani kulipata kutokea mtu aitwaye UNCLE TOM....kisa chake ni mashuhuri mno.....
Mbowe naye ni UNCLE TOM...
Lissu naye ni UNCLE TOM....
Lema naye ni UNCLE TOM....
Tuwaogope akina UNCLE TOM.....
#SiempreJMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama hujawahi kuwasikia basi hii hoja uliyoileta haikufai, maana umeivamia bila data.Tutajie hao viongozi