Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kamati Kuu ya CHADEMA watoto wao ni raia wa nchi zingine

Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.

Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Lissu aliwahi kukuingilia kinyume na maumbile sio bure.
 
Huyu baba yake alikuwa mwanachama wa Chadema?
 

Attachments

  • Screenshot_20230425_102434_Chrome.jpg
    Screenshot_20230425_102434_Chrome.jpg
    184.2 KB · Views: 4
Huyu baba yake alikuwa mwanachama wa Chadema?
Mtu aliyepata ziro form six , akashindwa kujenga ofisi ya chama chake kwa miaka 30 atakuwa na uwezo wa kufanya ziara A. Kusini?

Acheni propaganda.
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Hali hiyo ya ofic hata kabla ya wao kukimbilia ughaibuni kwahiyo mleta mada acha ujinga.
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Wewe ni mjinga kipimo cha poyoyo!
 
Mtu aliyepata ziro form six , akashindwa kujenga ofisi ya chama chake kwa miaka 30 atakuwa na uwezo wa kufanya ziara A. Kusini?

Acheni propaganda.
Tatizo umezaliwa kwenye familia maskini,kupata zero sio kufeli maisha
 
Hawa watu ni feki tupu tena ni wajinga maana hawajui ni wajinga. Kwa ujinga wao wanafikiri hizo harakati zao kwa kulipwa ujira nje ndio uzalendo.

Hebu fikiri, mtu kama mbowe na lisu wanasema wazi kwa kuona fahari watoto wao ni raia wa marekani. Lema naye kwa fahari anatuambia wanawe ni wamarekani. Hivi viongozi kama hao kitu gani kiwafanye kujali mstakabali wa nchi ya tanzania?

Lissu baada ya kushtuka kwamba sio sahihi kuringia mwanae kua ni raia wa marekani akajidai eti ni uamuz wa wanawe wenyewe. Kwanza mtoto mdogo anaongozwa maamuzi na mzazi. Na mtoto wa kiongozi anayejidai ni mkubwa kwa malezi ya wazazi hawezi kuamua kua raia wa nchi nyingine.
Kwa ufupi iogopeni chadema wandugu hao ni mamluki.
Ongea kwa kuweka akiba ya maneno. Je unajua viongozi wangapi wa chama tawala wana watoto walio na urai wa nje ya Tanzania?
 
Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.

Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Ongea kwa kutafakari zaidi. Je unajua viongozi wa ngapi wa chama tawala na serikali watoto wao wana urai wa nje? Tangu lini uliambiwa kuwa na uraia wa nchi nyingine ni kosa kisheria?
 
Sio suala la kukosa ofisi tu, ila sio chama kabisa cha kuipa hata jimbo. Hawanaga cha maana wanafanya. Ni wachumia tumbo tu kama mashetani wa ccm.
 
Tuigope CHADEMA....

CHADEMA haifai.....

Hawa akina Lissu na Mbowe wanaweza KUTUUZA NA KUIIUZA NCHI YETU.....

Kule katika mashamba ya watumwa Marekani kulipata kutokea mtu aitwaye UNCLE TOM....kisa chake ni mashuhuri mno.....

Mbowe naye ni UNCLE TOM...
Lissu naye ni UNCLE TOM....
Lema naye ni UNCLE TOM....

Tuwaogope akina UNCLE TOM.....

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
CCM NI VILAZA
 
Back
Top Bottom