Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Sawa anaitunza sema jingine we tukana yote ili usiwe unapost vipande vipande baada ya hapa hamia kwenye kilaza, dj, division four, ofisi chafu mabeberu nkSi useme tu anayekutunzia familia yako huko ubelgiji
Wewe unatunziwa na nani kutwa kucha unashinda jf ukiandika upumbafu tuSi useme tu anayekutunzia familia yako huko ubelgiji
Yote mabaya! Fisadi ni muuaji, kuvunja Katiba wazi wazi kama Lisu kujifanya Mtanzania ilhali anaingia TZ kwa visa, ni uhaini!Kati ya kuwa mpinzani na watoto sio "RAIA WA TANZANIA" au kuwa mtanzania na watoto wa tanzania, tena waziri na kufanya "UFISADI WA TRILLIONI 1.5" mpaka rais anakasirika na kutukana kukuita mpumbavu (Stupid)!.
Jambo lipi baya zaidi?
Mke ,watoto na dereva umewaacha Ubelgiji wakitinduliwa marindaWewe unatunziwa na nani kutwa kucha unashinda jf ukiandika upumbafu tu
Tukana tena du we hodari wa kutukana wacha wee nasikia wanakutefemea jana uliniambia mm sina marinda nikwqmbia sawa leo wengine tena? OhhhMke ,watoto na dereva umewaacha Ubelgiji wakitinduliwa marinda
Marinda yalipopata moto ukamwachia mzigo dereva nae atinduliwe maana hamna cha bure kwa mzunguTukana tena du we hodari wa kutukana wacha wee nasikia wanakutefemea jana uliniambia mm sina marinda nikwqmbia sawa leo wengine tena? Ohhh
Kweli kabisaNi nyumbu tu atakayewaamini hao viongozi vilaza
Ukisikia upungufu wa akili, ni kama huu unaoishi nao huyu mwenzetu anayeitwa Jilala, na ninahisi huenda jina lake halisi ni Jalala.Kitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.
Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Ujinga siyo maslahi ya nchi.Hawatetei masilahi ya nchi
Crap from low minds.Hawa watu ni feki tupu tena ni wajinga maana hawajui ni wajinga. Kwa ujinga wao wanafikiri hizo harakati zao kwa kulipwa ujira nje ndio uzalendo.
Hebu fikiri, mtu kama mbowe na lisu wanasema wazi kwa kuona fahari watoto wao ni raia wa marekani. Lema naye kwa fahari anatuambia wanawe ni wamarekani. Hivi viongozi kama hao kitu gani kiwafanye kujali mstakabali wa nchi ya tanzania?
Lissu baada ya kushtuka kwamba sio sahihi kuringia mwanae kua ni raia wa marekani akajidai eti ni uamuz wa wanawe wenyewe. Kwanza mtoto mdogo anaongozwa maamuzi na mzazi. Na mtoto wa kiongozi anayejidai ni mkubwa kwa malezi ya wazazi hawezi kuamua kua raia wa nchi nyingine.
Kwa ufupi iogopeni chadema wandugu hao ni mamluki.
Sio Watanzania wote wana uelewa mdogo kama wa kwako. Wapuuze wewe, na kupuuzwa na mjinga ni jambo la heri.Watanzania wanatakiwa kuwapuuza hawa vilaza kwa nguvu zote
Ndiyo maana unaonekana kichwani kumepwaya. Huelewi hata maana ya uzalendo.Mzalendo wa kweli hawawezi kutetea Acacia
Vikitoka huko vikatue sauzi moja kwa moja. Mwamba keshatangulia akavitafutie kazi zenye mshahara mkubwa kuliko wa UbungeKitendo cha chama cha CHADEMA kukosa ofisi ya maana kwa miaka 30 kimetafasiriwa kama ni kukosa nia ya dhati ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa sababu familia za viongozi hao siyo raia wa Tanzania na hawaishi hapa nchini.
Watoto wa Mbowe, Lissu, Lema etc ni raia wa Marekani na Canada na wanasomeshwa kwa kodi za mataifa hayo, hali hiyo imewafanya viongozi wa chama wajione kama hapa Tanzania ni wapitaji tu na muda wowote wanaweza kusaliti nchi na kukimbia hivyo hawaoni haja ya kujenga makao makuu ya kudumu.
Watoto wa nani wanatetea hayo maslahi ya nchi?
Jibu hoja kwanza kilaza mkubwa weweUkisikia upungufu wa akili, ni kama huu unaoishi nao huyu mwenzetu anayeitwa Jilala, na ninahisi huenda jina lake halisi ni Jalala.
Hayawahi kuandika chochote cha maana zaidi ya takataka kama hizi.
Hahahaha alafu baadae vihare na kuhalisha kwamba vinatetea masilahi ya TanzaniaVikitoka huko vikatue sauzi moja kwa moja. Mwamba keshatangulia akavitafutie kazi zenye mshahara mkubwa kuliko wa Ubunge
Hawatetei masilahi ya nchi
Kumbe chadema wanashindana na ccm kukwapua?Wale waliokwapua 1.5 trillion ndio wanatetea maslahi ya nchi sio?!
Chadema wamekwapua nini?!Kumbe chadema wanashindana na ccm kukwapua?