Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam

UPUUZI MTUPU!
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imekutana katika kikao maalumu Alhamisi 29 Julai, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan...
 
Naona wanamtafutia angle Gwajiboy,
Wanasema anapotosha wakati huo huo wanasema chanjo ni hiari!

Huo upotoshaji wa Gwajima unatoka wapi ikiwa anachokikosoa Ni hiari ya mtu kukipata?...
Wewe na Gwajima mna akili fupi. Kama hutaki chanjo ndio utumie uongo kudanganya vilaza wenzako? Anawaambia watakuwa ma-zombie wapi aliwahi kusikia au kuona zombie hapa duniani? Yani alivyo kilaza anatazama Hollywood kinachoigizwa kule anajua kipo in reality siku nyingine atawaambia watakuwa dragon au vampire

Huyo Kigwangala unayemsema hapo kakosea nini?
Chanjo zimetoka milioni 1, Watanzania ni kama around milioni 60 hapo napo huelewi. Chanjo za msaada, zikiisha uwezekano wa kusubiria ziletwe sio leo wala kesho na corona hapo haimsubiri mtu.

Mimi sichanjwi ila siwezi kuwa mpumbafu kama matahahira mashabiki wa Gwajima ambao hawana bases zozote za kukataa chanjo. Utasikia wanasema mara 666 mara zombie mara watauwawa wachukuliwe rasilimali zao. Mzungu gani ana muda mchafu wa kuua watu wanaovaa chupi za mitumba na kunya porini
 
Mmemgwaya Gwajima. Na jumapili anawapiga kwenye mshono.
 
Wanataka kumuwajibisha mwanachama wao? Hayaa!, mbona angejibiwa na mwanachama mwenzake mmoja tu mwenye hadhi sawa na yake? Ya nini chama kumshughulikia mapema wakati hali ya mambo iko sawa tu? Huko ni kumpa credit endapo hali ya mambo itaenda mrama maambukizi yakaongezeka huku watu wamechanjwa wengi
 
Sitaki kujua walichokwenda kujadili ila ninajiuliza kwanini mikutano ya chama unakwenda kufanyikia ikulu?

Kama mtangulizi wa Mama alikuwa anavunja katiba haihalalishi naye aendelee kuivunja...
Nchi imeoza, mikutano kila siku matunda ya mwungano hayo
 
Back
Top Bottom