Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Huna akili ni tusi mkuu?Duuh na wewe unatukana mimi situkani Mkuu tafuta mwingine wa kutukana nae...
Basi inabidi nialche kuambia watu hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili ni tusi mkuu?Duuh na wewe unatukana mimi situkani Mkuu tafuta mwingine wa kutukana nae...
Dude Fox why do u not read the whole Act especially Part IV section 16Fox, do not be lazy read 'The National Leaders Funeral Act', 2006
Death announcementof national leaders Death announcement of the President
8. -(1) Where the President who is in office dies, the Vice President
shall, after receiving official infonnation and confinnation ofthe death,
deliver death announcement in the manner stipulated under section 7.
(2) The Vice President shall, in respect of the late President,
announce a period of21 days for mourning and the flag to fly halfmast.
Yes wamesitisha Astra Zeneca ila chanjo zingine zinatumika kama kawa tena mamilion wanachanjwa kila siku mind yoou chanjo zipo zaidi ya nne.Wazungu wenyewe wameamua kusitisha pamoja na WHO kuioigia debe!!
Sukuma land awaamini dunia imevaa bukta.
Wale waganga njaa wa simiyu vipi kulikoni wapemba wamezidi kete.Ndumba za kwenye miti na ndumba za maji chumvi hii vita ni hatari.vuta nikuvute
Kikatiba zinapaswa kuwa siku 21 na sio 14, wamejichanganya!Serikali tangazo la msiba kwa siku 14 sio 21 kama ulivyoandika hapa kwamba /sawia na tangazo la serikali'
[emoji23]CCM muwe makini. Msituletee tena mgonjwa
Ehh mzee wa majalalan tena[emoji849][emoji849][emoji849]Nashauri Makamu wa Rais awe Mkristo Mkatoliki na Waziri Mkuu awe Mkristo Mprotestanti au Makamu wa Rais awe Mkristo Mprotestanti na Waziri Mkuu awe Mkristo Mkatoliki.
Waziri Mkuu awe Mkenda au Kimei kuendana na kama Makamu wa Rais atakuwa Mprotestanti au Mkatoliki.
Kabudi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu anaweza kuwa Mkenda.
Au Lukuvi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Kimei akawa Waziri Mkuu.
Au combination nyingine nzuri za Makamu wa Rais Mkatoliki na Waziri Mkuu Mprotestanti au Makamu wa Rais Mprotestanti na Waziri Mkuu Mkatoliki.
Bunge ndio liwe uwanja mkuu wa kufanya maamuzi haya, kwasababu uwiano wa kidini ndani ya Kamati Kuu ya CCM, hauendani na hali halisi nchini.
Halafu in the future, baada ya Rais Samia kumaliza vipindi vyake vya uongozi, tujaribu kuwa na Rais Mprotestanti, kwasababu Tanzania haijawahi kuwa na Rais Mprotestanti.
Ushauri huu usipofuatwa hakuna tatizo lolote. Maisha yanaendelea kwa amani na utulivu.
Kitu ambacho unadhani ukiambiwa wewe kitakukela usimwambie mtu mwingine Mkuu haya maisha tuu sio ya kubezana wala kudharauliana...Huna akili ni tusi mkuu?
Basi inabidi nialche kuambia watu hivi
Sawa mkuu nimekuelewa.Kitu ambacho unadhani ukiambiwa wewe kitakukela usimwambie mtu mwingine Mkuu haya maisha tuu sio ya kubezana wala kudharauliana...
Najua humaanishi ni jokes ila kumbuka wapo ambao ukiwagusa tuu anaona kama sijui umemwambia kitu gani wakati wewe ushasahau...Sawa mkuu nimekuelewa.
Labda kama unataka kitu kingineTuwekee hiyo Sheria ya mazishi hapa!!
Mmekutana ili mcheze ngoma ya CDM maana ndio waliowabana kutangaza kifo na Leo mmebanwa kuomboleza siku 21 wakati serikali chini mvunja katiba Samia imemnyima marehemu siku Saba zaidi kwa kutangaza siku 14 tu. Eti polepole anadhani akisema sambamba na tangazo la serikali ndio ataivalisha nguo. Hovyo kabisa
Wewe ni MZUSHI na Muongo wa karneRais Mama Samia Suluhu Hassan ametoa siku 2 za mapumziko
tarehe 22 March siku ya Jumatatu na
tarehe 25 March siku ya Jumatano siku ya mazishi huko Chato
bado mnataka siku 21 kama kipengele katika Sheria ya Mazishi kwa Kiongozi aliyefia Madarakani?
mbona unaPANIC sana wapi umeyapata hayo Marekebisho kuwa si Jumatatu tarehe 22/3/2021 Dodoma na wafanyakazi wote wa Makao Makuu Wizara zilizo Dodoma na Watanzania wanafunzi na walimu watapumzika Jumatatu na si JumanneWewe ni MZUSHI na Muongo wa karne
Ukweli
1. Karekebisha maombolezo ni siku 21kwa mjibu wa sheria sio siku 14 kama alivyotangaza awali
2. Mapumziko ni siku ya Jumanne tarehe 23/3/2021-Dodoma na Alhamisi tarehe 25/3/2021 siku ya mazishi huko Chato Geita
Makosa ya kiuandishi tu ni kweli Jumatatu tarehe 22/3/2021 labda wewe ndio mwenye wasiwasimbona unaPANIC sana wapi umeyapata hayo Marekebisho kuwa si Jumatatu tarehe 22/3/2021 Dodoma na wafanyakazi wote wa Makao Makuu Wizara zilizo Dodoma na Watanzania wanafunzi na walimu watapumzika Jumatatu na si Jumanne
hapo ndipo utajua mm ni mzushi
mjinga weweSerikali wataomboleza siku 14.
CCM wao wataomboleza siku 21.
Hata hivyo HAINA MAANA YOYOTE