Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa CCM kuketi kikao maalum Jumamosi (20/03/2021). Yatangaza siku 21 za maombolezo

Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa CCM kuketi kikao maalum Jumamosi (20/03/2021). Yatangaza siku 21 za maombolezo

Fox, do not be lazy read 'The National Leaders Funeral Act', 2006
Death announcementof national leaders Death announcement of the President
8. -(1) Where the President who is in office dies, the Vice President
shall, after receiving official infonnation and confinnation ofthe death,
deliver death announcement in the manner stipulated under section 7.
(2) The Vice President shall, in respect of the late President,
announce a period of21 days for mourning and the flag to fly halfmast.
Dude Fox why do u not read the whole Act especially Part IV section 16
Nani aliuza eneo la Mazishi la Iyumbu kwa NHC wakajenga nyumba, leo unaona kipengele kuvunjwa kuwa siku 14 ni cha ajabu?
wengine tunataka mambo mapya km kuundwa kwa Baraza jipya la Mawaziri kubadilishwa kwa Makatibu wakuu, Wakuu wa Mikoa na Wilaya
sasa ni fagia fagia na kuweka waaminifu si ndiondio ya woga

16. -(1) There shall be established under the Prime Minister's Office
a National Cemetery in Dodoma for burial and for perfomance of other
funeral activities for deceased national leaders or specified leaders
under this Act.
(2) Procedures for the establishment, maintenance and management
ofthe National Cemetery shall be as may be prescribed.
(3) The National Cemetery shall, at all times be guarded by the
Defence Forces.
Place of 17. -(1) A national leader or specified leader shall be buried in the
burial specified area within the National Cemetery.
 
Wazungu wenyewe wameamua kusitisha pamoja na WHO kuioigia debe!!
Yes wamesitisha Astra Zeneca ila chanjo zingine zinatumika kama kawa tena mamilion wanachanjwa kila siku mind yoou chanjo zipo zaidi ya nne.

Kwahyo msi generalise tatizo.... And btw wamesitisha sababu tu ya ku value maisha ya mtu mmoja mmoja ila general wise watu zaidi ya 16M waliotumia Astra zeneca wazima kabisa wala hawakupata shida yoyote zaidi ya hao 400 ambao ni isolated cases.

Kwahyo watachanjwa ila kwa zile brand zingine...... So bado chanjo inaendelea kma kawa.
 
Hebu waongezeeni Mishahara Wafanyakazi ndio jambo la Muhimu... Polisi washawachokeni
 
Sukuma land awaamini dunia imevaa bukta.
Wale waganga njaa wa simiyu vipi kulikoni wapemba wamezidi kete.Ndumba za kwenye miti na ndumba za maji chumvi hii vita ni hatari.vuta nikuvute

Mandumba ya Kipemba cyo poa na kamwe damu za watu huwa haziachi kulia
 
Nashauri Makamu wa Rais awe Mkristo Mkatoliki na Waziri Mkuu awe Mkristo Mprotestanti au Makamu wa Rais awe Mkristo Mprotestanti na Waziri Mkuu awe Mkristo Mkatoliki.

Waziri Mkuu awe Mkenda au Kimei kuendana na kama Makamu wa Rais atakuwa Mprotestanti au Mkatoliki.

Kabudi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu anaweza kuwa Mkenda.

Au Lukuvi anaweza kuwa Makamu wa Rais na Kimei akawa Waziri Mkuu.

Au combination nyingine nzuri za Makamu wa Rais Mkatoliki na Waziri Mkuu Mprotestanti au Makamu wa Rais Mprotestanti na Waziri Mkuu Mkatoliki.

Bunge ndio liwe uwanja mkuu wa kufanya maamuzi haya, kwasababu uwiano wa kidini ndani ya Kamati Kuu ya CCM, hauendani na hali halisi nchini.

Halafu in the future, baada ya Rais Samia kumaliza vipindi vyake vya uongozi, tujaribu kuwa na Rais Mprotestanti, kwasababu Tanzania haijawahi kuwa na Rais Mprotestanti.

Ushauri huu usipofuatwa hakuna tatizo lolote. Maisha yanaendelea kwa amani na utulivu.
Ehh mzee wa majalalan tena[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mmeanza Rasmi na mama Samia?

Nasubiri kauli za bora ya Magufuli
Mmekutana ili mcheze ngoma ya CDM maana ndio waliowabana kutangaza kifo na Leo mmebanwa kuomboleza siku 21 wakati serikali chini mvunja katiba Samia imemnyima marehemu siku Saba zaidi kwa kutangaza siku 14 tu. Eti polepole anadhani akisema sambamba na tangazo la serikali ndio ataivalisha nguo. Hovyo kabisa
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan ametoa siku 2 za mapumziko
tarehe 22 March siku ya Jumatatu na
tarehe 25 March siku ya Jumatano siku ya mazishi huko Chato
bado mnataka siku 21 kama kipengele katika Sheria ya Mazishi kwa Kiongozi aliyefia Madarakani?
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan ametoa siku 2 za mapumziko
tarehe 22 March siku ya Jumatatu na
tarehe 25 March siku ya Jumatano siku ya mazishi huko Chato
bado mnataka siku 21 kama kipengele katika Sheria ya Mazishi kwa Kiongozi aliyefia Madarakani?
Wewe ni MZUSHI na Muongo wa karne
Ukweli
1. Karekebisha maombolezo ni siku 21kwa mjibu wa sheria sio siku 14 kama alivyotangaza awali
2. Mapumziko ni siku ya Jumanne tarehe 23/3/2021-Dodoma na Alhamisi tarehe 25/3/2021 siku ya mazishi huko Chato Geita
 
Wewe ni MZUSHI na Muongo wa karne
Ukweli
1. Karekebisha maombolezo ni siku 21kwa mjibu wa sheria sio siku 14 kama alivyotangaza awali
2. Mapumziko ni siku ya Jumanne tarehe 23/3/2021-Dodoma na Alhamisi tarehe 25/3/2021 siku ya mazishi huko Chato Geita
mbona unaPANIC sana wapi umeyapata hayo Marekebisho kuwa si Jumatatu tarehe 22/3/2021 Dodoma na wafanyakazi wote wa Makao Makuu Wizara zilizo Dodoma na Watanzania wanafunzi na walimu watapumzika Jumatatu na si Jumanne
hapo ndipo utajua mm ni mzushi
 
mbona unaPANIC sana wapi umeyapata hayo Marekebisho kuwa si Jumatatu tarehe 22/3/2021 Dodoma na wafanyakazi wote wa Makao Makuu Wizara zilizo Dodoma na Watanzania wanafunzi na walimu watapumzika Jumatatu na si Jumanne
hapo ndipo utajua mm ni mzushi
Makosa ya kiuandishi tu ni kweli Jumatatu tarehe 22/3/2021 labda wewe ndio mwenye wasiwasi
 
Fanyeni tena ujinga mteue ibilisi mwingine wa kihutu Bashiru , mlete balaa lingine .
 

Intelligence Justice

Mimi nipo sawa tu Mkuu ila najua binadamu hayuko aliyekamilika ndio maana nikasema hiyo ACT ya Mazishi ilisema viongozi wazikwe Dodoma, ila imebadilishwa
sasa Leo tena Zanzibar imeongezeka kwa hiyo Mazishi ni Alhamis huko Chato
Dar na Dodoma wapo palepale
Mungu ampenguvu Mama Samia Suluhu Hassan hasa katika kipindi hiki cha ugeni wake ila atatuongoza vizuri sana
 
Back
Top Bottom