Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Salum Jechamfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salum Jechamfano
Na hilo linathibitisha jinsi walivyo kubali kukaliwa vichwani na sisi watuitao CHOGOWamefanya kuwa ni siri, majina hayo yatajuulikana huko huko Dodoma. Kiufupi Zanizibar hawana mamlaka hata yakutangaza hayo majina waliyoyachagua.
Utawala wa kifalme Zanzibar umeanza kunukia kwa mara nyingine.
Yule General hayumo?
Huyo General ni mzuri katika mambo ya uongozi kuliko wote waliotia nia ; anajua sana kuongoza ingawa inawezekana hajui siasa. Kiongozi mzuri aliyekuwapo kwa Zanzibar kipindi hiki alikuwa huyo.Yupi huyo ?
Juni 18, 2020
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui...
PEREIRA SILIMA YUKO KICHAMA ZAIDI NA NEUTRAL HAMA MAKUNDIKama Jecha hayumo, watakuwa hawajamtendea haki. Uzalendo wake wote ule?
Itakuwa kudhihirisha ule usemi wa shukurani ya punda kweli ni mateke.
Rais: Makame M. Mbarawa
Makamu wa Pili wa Rais : Issa Selemani Nassor/ Pereira A. Silima
Ndiyo...Tena lazima awe mlamba viatu wa amir jeshi mkuu wa serikali ya Tanzania baraRais wa Zanzibar lazima awe amefanya kazi kwenye Serikali ya Muungano?
Hata mgombea wa urais akiwa mwakyembe,Sefu hawezi kuwa Rais ZanzibarWakati ni ukuta, mfukuto kati ya chaguo la Wanzabari vs Chaguo la Wabara. Njia nyeupe kwa Maalim Seif.
Orodha yapendeza sana1. Dr. Mwinyi
2. Perera
3. Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
Wasioona mbali,wasiojua kusoma nyakati na wenye chuki na Seif ambapo CCM imesahau ndio watakao tilia shaka muono wako.Wakati ni ukuta, mfukuto kati ya chaguo la Wanzabari vs Chaguo la Wabara. Njia nyeupe kwa Maalim Seif.
Kwa sabab seif anafifisha upinzan visiwan na ndio maana Mara zote akichipua mpinzan wa kweli visiwan anapotea,Bila seif visiwan chama la wana lingekua na hali tete Zaid ya hii tunayoishuhudia sabab siasa za kule Ni za kihafidhina.Hata mgombea wa urais akiwa mwakyembe,Sefu hawezi kuwa Rais Zanzibar
mfumo dume ndio mfumo sahihi ulimwenguni. Hayo mambo sijui ya kiliberal yafanye kwenye familia yako.Jecha Salim Jecha hakukumbukwa kabisa! Kati ya wale akina mama waliojitokeza kwenye mchakato, yaani alikosekana hata mmoja tu wa kuingia kwenye hiyo 5 bora!
Bila shaka mfumo dume na udini vimetamalaki sana Zanzibar.
Pamoja na taaluma zao wamefanya nini? Uadilifu ndio kiwe kigezo sio taaluma. Maana tumeona na taaluma zao wameishia kufisidi nchi. Wametajirika wakiwa serikalini. Huku Zanzibar bora Magufuli awe rais wetu, wangekoma hawa watuKhamis Mussa. Hao wanataaluma watatu ningewarudisha vyuoni kwenye fani zao walizobobea
Maana ya Imbonelakule si "Nimekuonea mbali" Bali "Waona mbali". Kiufupi ili u qualify kuitwa Imbonelakule lazima uwe na kipaji Cha Sixth sense, uwe na uwezo wa kuona/kunusa mambo kabla hayajatokea.Imbhonelakule (Nimekuonea Mbali)
Kundi Lililomsumbua Hayati Nkurunziza
😁😂😅😄😃😃