Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Huyu pereira ndo yupi?,au yule mmexican?
Ni Paolo Escobar wa Zanzibar 😛 😛 😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu pereira ndo yupi?,au yule mmexican?
Ha ha ha,mi nimeona jina la ki mexico nikajua ndo yule mzee alieigiza na Marichui...Ni Paolo Escobar wa Zanzibar 😛 😛 😛
Aisee Jecha hajatendewa haki kwa alivyokipigania chama.
Kweli CCM ina ‘wenyewe’ poleni sana nyie wakuja na wavamizi wengine mnao jipendekeza pendekeza kwenye chama, mtaishia kupiga debe tuu.....
Umekosa kuna mmoja mwanamke kachomekwa ili ionekane haki na jinsia imetekelezwa1. Dr. Mwinyi
2. Perera
3. Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
Jecha kwa sasa yupo tayari kuwapa ACT ramani ya mchezo.
Bablai ana mahaba na number 2, wakulungwa walishampanga number 1 kitambo
Hakuna wa kumshinda Seif hapo labda watumie dola kama kawaida yao.
Sio Mzawa. kazaliwa bara huyoDr. Hussein Mwinyi ana vigezo vyote kuliko wengine,
DR. Hussein Mwinyi kwa maoni yangu anafaa sana kuwa Rais kwani ni mtu mnyenyekevu, hodar/mchapakazi, lkn zaidi ya hayo ana uzoefu wa kutosha ndani na kimataifa,
ana personality ya urais, ni kichwa, amebeba karibu sifa zote
Jecha hayumo?
mfanoTaarifa kutoka kwa Mabodi ni kwamba wale wasio wazawa wa Zanzibar wamekatwa
Zanzibar hawaruhusiwi kuyasema wala kupitisha wenyeweWamefanya kuwa ni siri, majina hayo yatajuulikana huko huko Dodoma. Kiufupi Zanizibar hawana mamlaka hata yakutangaza hayo majina waliyoyachagua.
Haiwezekani, Kwani mama anaetuwakilisha vema kwenye misiba wamemkata au hakuchukua fomu?Tano bora waliopita mchujo wa Uchaguzi wa U Rais CCM Zanzibar ni kama ifuatavyo,
1. Dr. Hussein Mwinyi
2. Perera Silima
3. Prof Makame Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa