Gia kubwa
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 470
- 495
Jecha anakosaje kwa mfano? mzalendo grade one hawawezi kumkata hata wakimkata kwakuwa majina hawajatangaza jina lake litaingizwa kibabe kule dom!!Jecha hayumo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jecha anakosaje kwa mfano? mzalendo grade one hawawezi kumkata hata wakimkata kwakuwa majina hawajatangaza jina lake litaingizwa kibabe kule dom!!Jecha hayumo?
Jecha ni bingwa wa maamuzi magumuHakuna kama Jecha!
Jecha hawajamtendea haki. Kwa aliyowafanyia huu ni muda wake wa kumlipa fadhila lakini si kwa CCM hawa wakishakutumia. Huko alipo atakua anajimbia "tenda wema nenda zako usingoje shukrani"Tano bora waliopita mchujo wa Uchaguzi wa U Rais CCM Zanzibar ni kama ifuatavyo,
1. Dr. Hussein Mwinyi
2. Perera Silima
3. Prof Makame Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
lakini kumbuka kuwa CCM hawana kawaida ya kukata majina ya watoto wa viongozi sanasana huwa wanawabeba.Dkt mwinyi anaendwa kukatwa Dodoma.. ameekwa hapo kuvuruga mind zisijue mhusika mkuu.. ni kama fake no 9... alivyowekwa membe 2015..
lakini kumbuka kuwa CCM hawana kawaida ya kukata majina ya watoto wa viongozi sanasana huwa wanawabeba.
CCM walisalimu amri kwa makunyanzi ya Amani Karume aliyeshika nafasi ya 3 majina yalipofika Dodoma akabebwa mpaka nafasi ya 1 kwa kuwa alikuwa ni mtoto wa Rais,Hssein mwinyi mwenye nafasi aliyonayo hivi sasa ameipata kwa kigezo cha kubebana kwa kuwa ni mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa nchi.Muulize makongoro nyerere, level ya urais CCM huwa haimuangalii mtu usoni..
Jecha hayumo?
Hata km kabebwa lkn jamaa yupo smart Hana makandokando nakumbuka Kuna mbunge wa cdm alimshutumu bungen mwishowe alilazimika kumtaka radh Kwa kushindwa kuthibitisha shutuma dhid yake.CCM walisalimu amri kwa makunyanzi ya Amani Karume aliyeshika nafasi ya 3 majina yalipofika Dodoma akabebwa mpaka nafasi ya 1 kwa kuwa alikuwa ni mtoto wa Rais,Hssein mwinyi mwenye nafasi aliyonayo hivi sasa ameipata kwa kigezo cha kubebana kwa kuwa ni mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa nchi.
PEREIRA . . ? Duuh!! nitacomment baadaye ngoja kwanza niingie Namtumbo1. Dr. Mwinyi
2. Perera
3. Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa