Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
1. Dr. Mwinyi
2. Perera
3. Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
Na jecha umemwacha wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Dr. Mwinyi
2. Perera
3. Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
Si yeye tu,wengi wanampenda mbarawa kwa uongozi alouonyesha kwa muda mchache alopata nyadhifa za uwaziriBablai ana mahaba na number 2, wakulungwa walishampanga number 1 kitambo
[emoji2][emoji2]Dah! Mama unamaneno..!
Jecha kashindwa hata kupata wadhamini 250 kutoka mikoa 3 kati ya mitano!Tunaimani na Jecha.. mbona hawajarejesha jina lake? Au ndio muosha huoshwa?
Mwelekeo wa uteuzi wa Rais wa Zanzibar ni usomi!.. Hakuna ubishi kwenye hilo kwani hata Rais anayemaliza muda wake ni Dr kitaaluma. Katika orodha hiyo hapo juu, ni Mbarawa pekee mwenye kiwango cha uprofesa kwenye fani yake!. Kama ningepewa kuamua nani awe Rais wa Zanzibar, Ningechagua majina mawili tu: 2. Pereira Silima na Khamis Mussa. Hao wanataaluma watatu ningewarudisha vyuoni kwenye fani zao walizobobea. 🤔Tano bora waliopita mchujo wa Uchaguzi wa U Rais CCM Zanzibar ni kama ifuatavyo,
1. Dr. Hussein Mwinyi
2. Perera Silima
3. Prof Makame Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
Ni daktari wa binadamu asiyeitendea haki fani yake.Husein Mwinyi ana sifa zipi ?
Mwelekeo wa uteuzi wa Rais wa Zanzibar ni usomi!.. Hakuna ubishi kwenye hilo kwani hata Rais anayemaliza muda wake ni Dr kitaaluma. Katika orodha hiyo hapo juu, ni Mbarawa pekee mwenye kiwango cha uprofesa kwenye fani yake!. Kama ningepewa kuamua nani awe Rais wa Zanzibar, Ningechagua majina mawili tu: 2. Pereira Silima na Khamis Mussa. Hao wanataaluma watatu ningewarudisha kwenye fani zao walizobobea. 🤔
Hapana Mkuu!.. usomi uliopitiliza mahali pake ni vyuoni ambapo wanahitajika sana, hasa kwenye hizi nchi zetu zinazoendelea.Kwahiyo kwa mujibu wako wewe mkuu usomi ni disqualification katika uongozi ?
He is a Yesterday's man!vuai nahodha vipi hata tano bora hajaingia?!
Tano bora waliopita mchujo wa Uchaguzi wa U Rais CCM Zanzibar ni kama ifuatavyo,
1. Dr. Hussein Mwinyi
2. Perera Silima
3. Prof Makame Mbarawa
4. Dr khalid
5. Khamis Mussa
Daaah kwa hiyo yale maneno ya wale wazee wa uamsho waliong'ang'aniwe ukweli wake unadhihiri sio?Wamefanya kuwa ni siri, majina hayo yatajuulikana huko huko Dodoma. Kiufupi Zanizibar hawana mamlaka hata yakutangaza hayo majina waliyoyachagua.
Jecha Salim Jecha hakukumbukwa kabisa! Kati ya wale akina mama waliojitokeza kwenye mchakato, yaani alikosekana hata mmoja tu wa kuingia kwenye hiyo 5 bora!
Bila shaka mfumo dume na udini vimetamalaki sana Zanzibar.
"...kikombe kijae nyekundu"?Naona wamejichanganya kuweka walamba viatu wa Jiwe ambaye hakubaliki kabisa Zanzibar. Hapo CCM wakilazimisha ushindi lazima kikombe kijae nyekundu!
Lililomsumbua au lililomuokoa mkuu?Imbhonelakule (Nimekuonea Mbali)
Kundi Lililomsumbua Hayati Nkurunziza
[emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji2][emoji2]
Sasa anayetumia dola na wewe uliyekwisha yajua matokeo mnatofauti gani?Hakuna wa kumshinda Seif hapo labda watumie dola kama kawaida yao.
Ni kweli kabisa, Wakimpa Mbarawa, Zanzibar itafika Mbali. Huyu jamaa ni mchapa kazi, na anafuatilia vitu in detail.Mbarawa kamzidi Sana Hussein mwinyi ambaye amekua akijiandaa muda mrefu bado dhaifu Sana.Znz Mbarawa ni mtu sahihi sanaaa
Huyo yupo katika walioshuka darajavuai nahodha vipi hata tano bora hajaingia?!