Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Jecha kwa sasa yupo tayari kuwapa ACT ramani ya mchezo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jecha kwa sasa yupo tayari kuwapa ACT ramani ya mchezo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bablai ana mahaba na number 2, wakulungwa walishampanga number 1 kitambo1. Dr. Hussein Mwinyi (Mgombea uraisi)
2.. Prof Makame Mbarawa (Mgombea mwenza)
Au vice versa
Ndo mimi namkubali jamaaHuenda katika wote vuai ndiye angefaa zaidi
Hakuna wa kumshinda Seif hapo labda watumie dola kama kawaida yao.
😃😃😄, Ndio maana 2015 akawanyima wapiga kura wa Zanzibar haki zao kumbe Jecha.alikuwa akikisimamia chama chakeHakuna kama jecha!View attachment 1497535
Kamati maalumu ya CCM imemaliza mkutano wake huko Zanzibar kwa kupitia majina yote wanachama waliochukua fomu. Tayari majina matano yamepatikana ambayo yatawasilishwa kwenye Kamati Kuu ya CCM itakayoketi wiki kesho pale Dodoma.
Seif ni CCM yuko katika special missionSeif yuko Ok na progress.
Si wakumbuka alitia timu Ikulu na kugonga viatu?
Mtoto wa Rais mstaafu,ndio sifaa pekee aliyonayoHusein Mwinyi ana sifa zipi ?
Muosha huoshwa ndicho kilichojiri.Yule nani nani sijui jecha kakomea wapi..??
Seif ni CCM yuko katika special mission
Dah! Mama unamaneno..!Muosha huoshwa ndicho kilichojiri.
Mbarawa kamzidi Sana Hussein mwinyi ambaye amekua akijiandaa muda mrefu bado dhaifu Sana.Znz Mbarawa ni mtu sahihi sanaaaDr. Hussein Mwinyi ana vigezo vyote kuliko wengine,
DR. Hussein Mwinyi kwa maoni yangu anafaa sana kuwa Rais kwani ni mtu mnyenyekevu, hodar/mchapakazi, lkn zaidi ya hayo ana uzoefu wa kutosha ndani na kimataifa,
ana personality ya urais, ni kichwa, amebeba karibu sifa zote
Yaa, Masauni na Nahodha wapo vizuri, watakuwa wamewachinja kwa makusudi kabisa..Wapi Masauni na Nahodha