Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana


Kuna watu mindsets zao zimeganda kwenye zama za “...zidumu fikra za mwenyekiti wa chama...”
 
Vipi, ikitokea Rais mjinga Kama kibwetere!??
Akatufungia ndani Ili atuchomee moto ndani?!
Tuendelee kutii tu!!! Hizo directions za kiongozi wetu.

Mh!?
 
Kama Pascal Mayalla mwenyewe ana_like tu humu komenti unategemea nani atatoa majibu yenye weledi?.

Kila mtu anasubili kuanzisha mada baada ya kamati kumlarua huyo gwajiboy.
Mkuu TODAYS , mimi sio tuu hutoa likes kwa kila thread ninayofungua na kwa kila post ninayosoma, ila pia ni mchangiaji mzuri, mfano kwenye uzi huu, nimeelezea experience yangu, kuhojiwa na Kamati ya Bunge.
P
 
Hakuna wa kujibu hoja za Askofu Gwajima. Hata wakikesha na madesa bado ni ngumu kusimama na mtu anayesimamia anachoamini.
Watamualika harakaharaka Mzee aliyetolewa jalalani..anamudu majibubya hovyohovyo na kejeli
 
Tupe uzoefu unavyoona Gwajima kesho anachomoka au hachomoki.Predict
Hachomoki, ila majibu sio kesho, kesho atahojiwa tuu, halafu matokeo ni keshokutwa, atapewa adhabu.

Ila kitu cha mwisho Gwajiboy atakachofanya ni hiki
Hivyo mwisho wa siku, Gwajiboy atachanjwa na misukule yake, watafuatia.
P
 
Hajawahi kusema haya!
 
Gwajima angefanya Kama Polepole nadhani kusingekuwa na Mgogoro wowote unaofukuta.Polepole yupo kimya hataki malumbano na viongozi nadhani kamati haimhusu.
 
Wanaenda kumsihi apunguze moto, wakimtishia ataivua nguo serikali kanisani!
 
Labda waamue kumbeba. Tangu aanze mjadala dhidi ya covid ameongea vitu vingi vya uongo.
Hata maswali anayojifanya kumbana nanyo waziri yalishajibika muda.
Hivi karibuni ameanza kulegeza ulimi na kujifanya hapingi lakini alitakiwa kuyakana yale maneno kwenye hotuba yake ya mwanzo kuwa viongozi wamevuta mshiko.
Yapo yutube hivyo atawajibika kutoa ushahidi.
Akitumia clip za Mollel atakwama kwani ni kipindi kile Rais hajaunda kamti iliyokuja na majibu kuwa chanjo ni salama.
Kamati ikisikiliza clip zake zote ina mambo mengi anayotakiwa kuyatolea ushahidi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tena ingependeza kama hayo mahojiano yangerushwa live kwenye vituo vya habari vyote nchi ili tujue yupi ni mkweli yupi ni mfata upepo.
Ila hawawezi maana inaweza kuwa ni zaidi ya mahojiano.
Kwanini iwe hivyo kwa Gwajima pekee? Wote waliohojiwa kabla walihojiwa kwa utaratibu huo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mie mkeka wangu nimeshauweka kwa twaha gwaji boy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…