Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

Uongo mtupu.Kamati haijapendekeza kitu cha namna hiyo. Huu ni uongo mkubwa wa kutaka sifa kwa Zitto Kabwe.
Ukisikia jina la ZZK unawehuka, kazi kupinga tu... haya soma hii habari ya uchambuzi toka kwenye gazeti la serikali http://habarileo.co.tz/index.php/safu/22046-chezea-wewe-nusu-milioni-kwa-siku Wewe unamjua fika mwakilishi wa kamati ya posho toka chadema "Mbowe" ni mtu mwenye elimu kiasi gani na usitegemee anaweza kuargue na wale wasomi toka CCM......Inasemekana baada ya kupewa data na takwimu za kizushi kabakia kutikisa kichwa na kukubali kila kitu.....
 
Nilijua tu unapompeleka mtu mwenye elimu ya magumashi kama mwenyekiti kwenye kamati ile ya posho, tena na wasomi wanaojua kufinyaanga takwimu , mara mfumuko wa bei, mara gharama za maisha , mara ..............! itakuwa majanga tu. Mwenyekiti hawezi kujenga hoja ya kielimu na atabakia kuitikia tuu....Inasemekana mwenyekiti alibaki mdomo wazi wale jamaa walivyojipanga na makaratasi kibaao ya takwimu tena kwa lugha ya kiingereza.....mweshimiwa mwenyekiti asijue la kupinga akabaki kusema wananchi watatuonaje................... Kweli akili ndogo imeishiwa mbinu kama ulivyodokeza waraka, hivi kweli kazi ya kutathmin inaweza kufanywa ndani ya masaa kadhaa na kuja na document ya kumshauri rais? wametumia muda gani kutafuta rejea mbali mbali? wamemuhoji nani na wapi? ................
 
Zitto ana hela nyingi alizoficha ujerumani so hana haja ya posho
 
Tume so kwenye hiyo tume mwenye makosa ni m/kiti tu? Tumia akili kidogo kuliko muda wote ww ni kumwandika m/kiti tu!
 
Nilijua tu unapompeleka mtu mwenye elimu ya magumashi kama mwenyekiti kwenye kamati ile ya posho, tena na wasomi wanaojua kufinyaanga takwimu , mara mfumuko wa bei, mara gharama za maisha , mara ..............! itakuwa majanga tu. Mwenyekiti hawezi kujenga hoja ya kielimu na atabakia kuitikia tuu....Inasemekana mwenyekiti alibaki mdomo wazi wale jamaa walivyojipanga na makaratasi kibaao ya takwimu tena kwa lugha ya kiingereza.....mweshimiwa mwenyekiti asijue la kupinga akabaki kusema wananchi watatuonaje................... Kweli akili ndogo imeishiwa mbinu kama ulivyodokeza waraka, hivi kweli kazi ya kutathmin inaweza kufanywa ndani ya masaa kadhaa na kuja na document ya kumshauri rais? wametumia muda gani kutafuta rejea mbali mbali? wamemuhoji nani na wapi? ................

Maji taka...
 
Nilijua tu unapompeleka mtu mwenye elimu ya magumashi kama mwenyekiti kwenye kamati ile ya posho, tena na wasomi wanaojua kufinyaanga takwimu , mara mfumuko wa bei, mara gharama za maisha , mara ..............! itakuwa majanga tu. Mwenyekiti hawezi kujenga hoja ya kielimu na atabakia kuitikia tuu....Inasemekana mwenyekiti alibaki mdomo wazi wale jamaa walivyojipanga na makaratasi kibaao ya takwimu tena kwa lugha ya kiingereza.....mweshimiwa mwenyekiti asijue la kupinga akabaki kusema wananchi watatuonaje................... Kweli akili ndogo imeishiwa mbinu kama ulivyodokeza waraka, hivi kweli kazi ya kutathmin inaweza kufanywa ndani ya masaa kadhaa na kuja na document ya kumshauri rais? wametumia muda gani kutafuta rejea mbali mbali? wamemuhoji nani na wapi? ................

Kwa hiyo unakubali ni Mbowe pekee aliyeenda kupinga, MaCCM na MaCUF yote yalikuwa yanatetea kupanda kwa posho...
 
Zitto ana hela nyingi alizoficha ujerumani so hana haja ya posho
Mkuu kukaa kimya ni bora, ZZK ni shujaa kwa sasa Tz....kwenye hili amesimama upande wa haki chuki zako ulizopandikizwa na viongozi wanaomuona kuwa ni tishio ziweke pembeni la si hivyo utaonekana kioja.
 
Duh no posho wanayotaka no kazi. Hivi wamelazimishwa kuwepo ktk shughuli hii?
 
Kwani Mh. Zitto msimamo wake kuhusu posho siunajulikana!!

Kinachomfanya aendelee kuandika andika kuhusu kukataa posho ni nini,,,,
 
Zitto ana hela nyingi alizoficha ujerumani so hana haja ya posho

Acha hoja nyepesi hapa issue ni posho za kufuru wanazotaka hawa waganga starehe wakati cc tunaganga njaa, sasa pesa za zitto zinaingiaje hapa? Kwa hyo mtatiro na wengine wanaopinga wameficha hela kwenu?
 
Kwani Mh. Zitto msimamo wake kuhusu posho siunajulikana!!

Kinachomfanya aendelee kuandika andika kuhusu kukataa posho ni nini,,,,

We wa wapi? Kwan msimamo wa chadema juu ya ccm na ufisadi haujulikan? Lakin unategemea waache kuongelea hayo? Hemu jitambue tuzungumzie hoja ya hz posho tatzo mnakimbia hata hoja za msingi kisa znatoka kwa watu msioafikiana kimtazamo
 
CCM lazima wawahonge wajumbe wa kamati hata ikiwezekana zaidi ya laki 5 kila mmoja kwa siku, ili wapitishe hoja ya serikali 2 kinyume na matakwa ya wananchi.
 
Nilijua tu unapompeleka mtu mwenye elimu ya magumashi kama mwenyekiti kwenye kamati ile ya posho, tena na wasomi wanaojua kufinyaanga takwimu , mara mfumuko wa bei, mara gharama za maisha , mara ..............! itakuwa majanga tu. Mwenyekiti hawezi kujenga hoja ya kielimu na atabakia kuitikia tuu....Inasemekana mwenyekiti alibaki mdomo wazi wale jamaa walivyojipanga na makaratasi kibaao ya takwimu tena kwa lugha ya kiingereza.....mweshimiwa mwenyekiti asijue la kupinga akabaki kusema wananchi watatuonaje................... Kweli akili ndogo imeishiwa mbinu kama ulivyodokeza waraka, hivi kweli kazi ya kutathmin inaweza kufanywa ndani ya masaa kadhaa na kuja na document ya kumshauri rais? wametumia muda gani kutafuta rejea mbali mbali? wamemuhoji nani na wapi? ................
“Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity.” (Martin Luther King Jr.)
 
Kwani Mh. Zitto msimamo wake kuhusu posho siunajulikana!!

Kinachomfanya aendelee kuandika andika kuhusu kukataa posho ni nini,,,,

Acha kujiondoa ufahamu...aliyekwambia ukishasema msimamo wako huruhusiwi kuurudia tena ni nani.
 
Tuacheni nasisi wauza madawa tupige hela kivyetu maana hizo za serekalini hatuna uwezo nazo
 
Back
Top Bottom