Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posho Bunge Maalumu la Katiba kuwa 500,000 kwa siku.
Habari zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania la Leo kwamba Kamati ya kufuatilia posho za wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000 kwa siku imethibitishwa ni kweli.
Natoa wito kwa Wananchi wote kushinikiza kwa Rais pendekezo hili asilikubali. Naunga mkono wazo la mjumbe wa Bunge Maalum ndg Julius S. Mtatiro la kuorodhesha majina ya wote wanaopinga nyongeza ya posho. Nitaweka sahihi kwenye petition yake hiyo mapema kesho asubuhi.
Wagombea uenyekiti nao wanaahidi kupandisha posho. Nawaonya wasithubutu kutoa ahadi hiyo kwani sio mamlaka yao. Mgombea mwenye sera ya posho hatapata kura yangu na nitashawishi wajumbe wengine wasimpe kura.
#NatakaKatibaSitakiPosho
Chanzo: Zitto Kabwe (FB Wall)
mwenyekiti wa wasaliti mkuuZitto unatumia nguvu nyingi sana kutetea umaarufu wako ulioporomoka.
Hv huwa mnafikiria kwa kutumia viungo gani ktk mwili..!? Ushujaa wake uko wapi wakati anasaini mahudhurio? Ukisaini mahudhurio,maana yake umeidhinisha posho yako itumike. Na kutosaini mahudhurio ni kosa kwa kanuni za bunge. Tupe maelezo toka aanze kukataa posho,zile pesa huwa zinapelekwa wapi? Au kwa akili yako zinarudishwa hazina!? Unalishwa sumu ya kijinga wewe unashabikia! Pia umesema ile kamati imejaa wasomi ndo maana wamemzidi ujanja mbowe. Kumbe kuwa msomi ni kuwahadaa wasiosoma ili uwaibie!? Km jibu ni ndiyo,kuna haja gani ya kuwa na wasomi wezi? Ndo maana tumefika hapa kwa kuongozwa na wachumia tumbo..!!Mkuu kukaa kimya ni bora, ZZK ni shujaa kwa sasa Tz....kwenye hili amesimama upande wa haki chuki zako ulizopandikizwa na viongozi wanaomuona kuwa ni tishio ziweke pembeni la si hivyo utaonekana kioja.
Safi kwa lipi?
hapo lema atampiga mtu kitofa
mhhhh kama hii ni kweli ina maana wajumbe wale 6 walioteuliwa na Mwenyekiti wa muda wameungana so hata mzee wetu Mbowe nawe unataka uongezewe na wale memba wako wa kamati wakina Kimiti na wengineo?Jaman mmeenda kuomba muongezewe posho au kwa ajili ya katiba?nakumbuka Warioba jibu alilolitoa ni kua kama mtu hawez ajitoe au aandike barua kwa Raisi,tuachane ujinga wa kuchezea hela za watanzania mana hiyo laki tano ni hela kubwa sana hata hiyo laki 3 nayo ni kubwa sana na msituone watanzania ni wasio na uelewa labda mmoja lakini sio wote.
Mnaboa na ujinga wa kuchezea hela za nchi
mhhhh kama hii ni kweli ina maana wajumbe wale 6 walioteuliwa na Mwenyekiti wa muda wameungana so hata mzee wetu Mbowe nawe unataka uongezewe na wale memba wako wa kamati wakina Kimiti na wengineo?Jaman mmeenda kuomba muongezewe posho au kwa ajili ya katiba?nakumbuka Warioba jibu alilolitoa ni kua kama mtu hawez ajitoe au aandike barua kwa Raisi,tuachane ujinga wa kuchezea hela za watanzania mana hiyo laki tano ni hela kubwa sana hata hiyo laki 3 nayo ni kubwa sana na msituone watanzania ni wasio na uelewa labda mmoja lakini sio wote.
Mnaboa na ujinga wa kuchezea hela za nchi
Zitto unatumia nguvu nyingi sana kutetea umaarufu wako ulioporomoka.
Unatumia nguvu nyingi sana kufikisha ujumbe ambao hata ufahamu nao hauna. Kwa hiyo kwa imani yako na ufahamu wako ukisign ndiyo umechukua posho? Be serious!Hv huwa mnafikiria kwa kutumia viungo gani ktk mwili..!? Ushujaa wake uko wapi wakati anasaini mahudhurio? Ukisaini mahudhurio,maana yake umeidhinisha posho yako itumike. Na kutosaini mahudhurio ni kosa kwa kanuni za bunge. Tupe maelezo toka aanze kukataa posho,zile pesa huwa zinapelekwa wapi? Au kwa akili yako zinarudishwa hazina!? Unalishwa sumu ya kijinga wewe unashabikia! Pia umesema ile kamati imejaa wasomi ndo maana wamemzidi ujanja mbowe. Kumbe kuwa msomi ni kuwahadaa wasiosoma ili uwaibie!? Km jibu ni ndiyo,kuna haja gani ya kuwa na wasomi wezi? Ndo maana tumefika hapa kwa kuongozwa na wachumia tumbo..!!
Yafaa Zitto apigwe BAN hata huko fb!kwa kuweka habari za kizushi huku akishindwa kutoa ufafanuzi juu ya pesa za ccm zilizokua zinatumwa germany na kurudi kwake kwa western union
Posho Bunge Maalumu la Katiba kuwa 500,000 kwa siku.
Habari zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania la Leo kwamba Kamati ya kufuatilia posho za wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000 kwa siku imethibitishwa ni kweli.
Natoa wito kwa Wananchi wote kushinikiza kwa Rais pendekezo hili asilikubali. Naunga mkono wazo la mjumbe wa Bunge Maalum ndg Julius S. Mtatiro la kuorodhesha majina ya wote wanaopinga nyongeza ya posho. Nitaweka sahihi kwenye petition yake hiyo mapema kesho asubuhi.
Wagombea uenyekiti nao wanaahidi kupandisha posho. Nawaonya wasithubutu kutoa ahadi hiyo kwani sio mamlaka yao. Mgombea mwenye sera ya posho hatapata kura yangu na nitashawishi wajumbe wengine wasimpe kura.
#NatakaKatibaSitakiPosho
Chanzo: Zitto Kabwe (FB Wall)
Zitto anatumia fursa aliyonayo kuyasemea yale anayoyaamini. Amekuwa akisema hivo siku zote. Hata alipokuwa bado na nguvu Chadema alizipinga posho kwa vitendo kwa kutochukua posho. Hiyo haibadiliki. Labda mwenzetu ungefurahi sana kama angeunga mkono hoja ya kupandisha posho hadi laki 5? Tuwe ni watu wa kutumia akili zetu vizuri siyo kupinga tu simply because you hate him.
Ushauri wangu kwa wanasiasa wapenda nchi tutafute platform mpya ya kulitetea taifa letu. Atokee mtu wa kutumobilise na kuanzisha Tahariri square yetu pale bungeni Dodoma na kupiga kambi pale na kuhakikisha hawa mafisadi hawatoki mle ndani na laki 5! Kwa nini Watanzania tunakuwa wanyonge sana? Chadema na Ccm na Cuf lao ni moja yanapokuja mambo ya ulaji. Wanaiua nchi!