Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuanzisha Barabara za kulipia tozo

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuanzisha Barabara za kulipia tozo

Sio kwamba wewe ndio Mjinga? Unajua modality ya concept ya toll roads? Acha kuropoka hovyo wewe mbumbumbu.
Atajua vipi 'toll roads' wakati tangu amezaliwa hajawahi kutoka nje ya TZ? Hajui umuhimu wake wala faida yake.
Ujamaa ulidumaza/unaendelea kudumaza akili za watu wengi.
 
Kamatia ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kuona umuhimu wa kuanzisha na kujenga Barabara za Kulipia Tozo Ili kuweza kuongeza mapato..

Kamatia imetaka Barabara ya Kimara Hadi Kibaha ndio iwe ya kwanza kuingizwa kwenye mfumo huo.



My Take.

Safi sana Kamatia,ifike mahala tuepukane na mifumo ya kijima inachelewesha maendelea sana.


Hivi hawa wabunge 75% IQ yao ni hohe hahe, yaani barabara utoke pale Kimara to Kibaha sehemu ya dak 20, alafu ulipie, hawa wabunge kumbe hawaoni maisha yalivyo panda, unga, mafuta, vyakula vyote vimepanda, wao badala ya kufikiria namna ya kumsaidia mwananchi, ndio kwanza wanazidisha gharama kwa mwananchi.. Mh. Rais Samia, kuwa makini sana na hawa wabunge, wako kama hawaishi Tanzania yetu.

Barabara zenyewe hakuna, hii ya Kimara to Kibaha si kodi zetu zimejenga, haifai kulipia
 
Kamatia ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kuona umuhimu wa kuanzisha na kujenga Barabara za Kulipia Tozo Ili kuweza kuongeza mapato..

Kamatia imetaka Barabara ya Kimara Hadi Kibaha ndio iwe ya kwanza kuingizwa kwenye mfumo huo.



My Take.

Safi sana Kamatia,ifike mahala tuepukane na mifumo ya kijima inachelewesha maendelea sana.
Hv unafikiri Ulaya barabara zote au nchi zina toll sijui mnajidanganya wapi
 
Hivi hawa wabunge 75% IQ yao ni hohe hahe, yaani barabara utoke pale Kimara to Kibaha sehemu ya dak 20, alafu ulipie, hawa wabunge kumbe hawaoni maisha yalivyo panda, unga, mafuta, vyakula vyote vimepanda, wao badala ya kufikiria namna ya kumsaidia mwananchi, ndio kwanza wanazidisha gharama kwa mwananchi.. Mh. Rais Samia, kuwa makini sana na hawa wabunge, wako kama hawaishi Tanzania yetu.

Barabara zenyewe hakuna, hii ya Kimara to Kibaha si kodi zetu zimejenga, haifai kulipia
Acha uzushi hiyo Barabara inajengwa Hadi Morogoro to Dodoma na pia kuanzia Tunduma Hadi Igawa zitakuwa toll roads
 
Huu mfumo uko dunia nzima tena tumechelewa sana kuuanzisha, hakuna kitu cha bure duniani. Ujamaa umedumaza sana akili za watu.
Nchi Nyingi Zenye Hiyo Mifumo Elimu Ni Bure Mpaka chuo Kikuu,Miundombinu Imara,Vituo Vy Afya Kila Mahali.
Lakini Naweza Sema Huu Mfumo Ndo Chachu Ya kuleta Hivo Vitu Vyote,Kikubwa inahitajika Barabara Mbadala Za Kulipia Sio Hizo za Zamani Kuzifanya kuwa za Kulipia
 
Ujenzi wa barabara ya Ubungo Chalinze Mbona umesimama kwa muda mrefu?

Ule wa njia 4-6 ?
 
Thread imejaa matusi, sio kwangu humu kila lenye heri boss
Ndio maana Huwa nampenda Samia Huwa hajali mbumbumbu watasema nini,hata Nyerere wakati analeta magezuzi ya siasa nyumbu walikataa 🤪🤪.

Kwa hiyo tutasonga mbele.
 
Nchi Nyingi Zenye Hiyo Mifumo Elimu Ni Bure Mpaka chuo Kikuu,Miundombinu Imara,Vituo Vy Afya Kila Mahali.
Lakini Naweza Sema Huu Mfumo Ndo Chachu Ya kuleta Hivo Vitu Vyote,Kikubwa inahitajika Barabara Mbadala Za Kulipia Sio Hizo za Zamani Kuzifanya kuwa za Kulipia
Kikubwa pesa zisipigwe juu kwa juu, kuwe na mfumo wa kuhakikisha zinatumika inavyostahili. Kutokuwa na 'road tolls' karne hii tuliyopo ni kitu cha ajabu, ni moja ya njia rahisi za kukusanya mapato hasa ya kuziendeleza na kuzikarabati barabara zetu.
 
Nchi Nyingi Zenye Hiyo Mifumo Elimu Ni Bure Mpaka chuo Kikuu,Miundombinu Imara,Vituo Vy Afya Kila Mahali.
Lakini Naweza Sema Huu Mfumo Ndo Chachu Ya kuleta Hivo Vitu Vyote,Kikubwa inahitajika Barabara Mbadala Za Kulipia Sio Hizo za Zamani Kuzifanya kuwa za Kulipia
Taja hiyo Nchi ambayo ni Bure..

Mwisho kwani Tanzania Elimu sio bure? Unalipia nini Hadi Chuo Kikuu?.

Pili hayo unayoyasema hayakuja kama mvua walichangushana kama hivi wakipata pesa wanaimarisha huko kwenye Huduma.
 
Kikubwa pesa zisipigwe juu kwa juu, kuwe na mfumo wa kuhakikisha zinatumika inavyostahili. Kutokuwa na 'road tolls' karne hii tuliyopo ni kitu cha ajabu, ni moja ya njia rahisi za kukusanya mapato hasa ya kuziendeleza na kuzikarabati barabara zetu.
Zipigwe wapi wewe kwani pos machine kazi yake ni nini? Kule Kigamboni si mnalipia?
 
Machawa katika ubora wao,hao wabunge waliotoa ilo wazo kuwe na roads toll je wapiga kura wao wanajua ama ni wazo la akili zao kichwani,Hapo namuona mama Anna Kilango kutokea kule same wananchi wake jimboni kwake ukibahatika kutembelea ni masikini watupu,barabara za vumbi,maji ya shida
 
Back
Top Bottom