ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Kwani wewe ukianza na wazi kichwani Mke wako Huwa anajua? Watajua baadaeMachawa katika ubora wao,hao wabunge waliotoa ilo wazo kuwe na roads toll je wapiga kura wao wanajua ama ni wazo la akili zao kichwani,Hapo namuona mama Anna Kilango kutokea kule same wananchi wake jimboni kwake ukibahatika kutembelea ni masikini watupu,barabara za vumbi,maji ya shida
Umeusimamisha wewe? Ndio umeanza Kwa hatua hii ya awali ,hiyo section uliyosema Iko kwenye evaluation.Ujenzi wa barabara ya Ubungo Chalinze Mbona umesimama kwa muda mrefu?
Ule wa njia 4-6 ?
Gari kwako ni nini, au ndio ile nadhalia kwamba mbogo akishakuwa na gari na nyumba basi ni tajiri.....boss wangu ni hivi kwa dunia ya leo usafiri na makazi ni basic need sio anasa tena kama tulivyokuwa tukiaminishwa.How? Hujui hata maana ya hiyo concept,low income earners Wana magari?
Kwa hiyo ununue gari la mamilioni ushindwe kulipia Elfu 5 au 10 si ndio?Gari
Gari kwako ni nini, au ndio ile nadhalia kwamba mbogo akishakuwa na gari na nyumba basi ni tajiri.....boss wangu ni hivi kwa dunia ya leo usafiri na makazi ni basic need sio anasa tena kama tulivyokuwa tukiaminishwa.
Kila kitu huwa recorded kuanzia kwenye CCTV cameras mpaka kwenye system nzima japo tokea wajenge Kigamboni sijawahi kurudi TZ but I believe mifumo huwa haitofautiani dunia nzima.Zipigwe wapi wewe kwani pos machine kazi yake ni nini? Kule Kigamboni si mnalipia?