Pre GE2025 Kamati ya Bunge yapendekeza isiwe lazima kwa Wakurugenzi wa Halmashauri, Miji na Majiji kusimamia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa kama ni hivyo kinachowaogopesha ni nini? Katiba bora itakayoweka misingi mizuri ya nchi hata kwa miaka 10 tu mnaogopa isiwepo,tume ya maana ya uchaguzi ndo hii mnayojikanyaga nayo kila siku kwa miswada ya kuunga unga wakati vitu viko wazi wala haviitaji porojo nyingi. Halafu kutwa kujitutumua kua mna sera nzuri. Sera nzuri zipi hizo ambazo zinawafanya mnaogopa katiba bora?.
 
Halafu acheni visingizio vyenu ninyi.hivi mbowe kwa miaka yote alikuwa anapita kwa kutumia tume ipi ya uchaguzi? Hivi upinzani wa nchi hii kwaajili zenu mnafikiri mnaweza kupewa nchi hii kuongoza? Acheni kuota ndoto zenu za mchana.
 
Chadema wanadhani CCM watajiwekea kisu shingoni halafu wajichinje. Never
Chadema sijui kwanini hawaelewi? Sijui kwasababu Mbowe analamba asali ndio maana hawaelewi kuwa “ huwezi kufika peponi bila kufa”!
 
Umeanza kupingana na mpendwa wako Bashite? Huu si ndio ulikua msimamo wako na chama kwa ujumla? imekuajeje tena Mwashaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…