Pre GE2025 Kamati ya Bunge yapendekeza isiwe lazima kwa Wakurugenzi wa Halmashauri, Miji na Majiji kusimamia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naomba unijibu kuwa ulikuwa na ndoto gani ambazo CCM imekuzui kutokutimiza wakati wenzako wakitimiza chini ya serikali hii hii ya CCM Ambayo imekuwa ikiweka mazingira wezeshi kwa kila mtu kutumia fursa kujikwamua kiuchumi.
 
Sina uwezo wa kuunda bunge la majizi.
Basi kaa kwa kutulia uendelee kupeleka mawazo yako na kero zako kwa serikali ya CCM na wabunge waliopo .hili ndilo bunge lako ambalo unatakiwa ukubaliane na ukweli huo.
 
Basi kaa kwa kutulia uendelee kupeleka mawazo yako na kero zako kwa serikali ya CCM na wabunge waliopo .hili ndilo bunge lako ambalo unatakiwa ukubaliane na ukweli huo.

Kero gani zinaweza kutatuliwa na Hawa majizi? Mfano halisi ni umeme.
 
Nchi kama India hutumia Resident Magistrates wa jimbo husika kuwa wasimamizi wa uchaguzi kwenye maeneo husika. Mchakato wa uchaguzi mchakato wa kisheria na ndiyo maana hata huko juu mwenyekiti na makamu wake wa Tume ya uchaguzi ni lazima wawe ni majaji. Hivyo huku chini resident magistrates ndio proper persons. Wasimamizi wa vituo wanaweza kuendelea kuwa waalimu au wanafunzi baada ya kupewa semina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…