Hivi hawa wazazi waliozaa hao watu kweli wanajiskia Raha kabisa kuzaa watu wenye maamuzi ya aina hyo kweli. Hebu wazazi wengine wasituzalie watu wa namna hii.Hata sishangai, management bado ileile, wanasiasa walewale, tabia zao zilezile, chama kilichoshindwa kilekile, kupata hasara iko kwenye DNA yao.
Kwani ndege moja bei gani?Kamati ya bunge yang'aka na kushangaa deni la shirika la ndege la ATCL kufika shilingi bilioni 472 na kuna hatari ya kufirisika na kufa kama seikali haitaingilia kati.
HT gazeti Mwananchi
Washushe Bei ya nauli, wafuate nyayo za FastjetNdge zile zilishanunuliwa na mwendazake. Hawana pa kuzipeleka.
Mzee aliondoka akiacha legacy ya kutovaa barakoa hata mara moja.Sisi tukamwachia Mungu atende miujiza.... bila hiyana mdudu wa 19 akafanya kazi yake.
Kwanini ATCL isipate hasara wakati zinatumika na Top three kama boda boda! Utasikia Rais yupo Rwanda na lile dege kubwa Dreamliner, Makamu yupo Burundi na Airbus, huku PM yupo kwao kusalimia kwa Bombardier. Nchi imepoteza dira kabisa.
Hahahahaaa.Hivi hawa wazazi waliozaa hao watu kweli wanajiskia Raha kabisa kuzaa watu wenye maamuzi ya aina hyo kweli. Hebu wazazi wengine wasituzalie watu wa namna hii.
ATCL ilianzishwa bila business Plan-CAG report.Tatizo lenyewe 98% ya wachangiaji wa hii mada watakuwa ni watu ambao hawana uwezo wa kudadavua maswala ya biashara.
Huo ndio ukweli wenyewe (hamna huo uwezo) ni hadithi za abunuwasi tu.
Naanza kuelewa wachangiaji kama hakina ‘John Mashaka’ wakapotea kuliko kuangaika na ujinga on top of that uanze kuns na mods wajinga wajinga wa kuingilia system zao kutafuta files ambazo 99% they can’t analyse them.
You people are doomed.
Hivi mzazi unajiskiaje kabisa kuzaa mitoto ya namna hyo ambayo Ina kadi ya kijani na inaliletea taifa hasara namna hii.Hahahahaaa.
Wanazaa watoto wenye kuliingizia Taifa hasara
Hasara moja bei gani?Kwani ndege moja bei gani?
Umetia chumvi hadi umepitiliza. Duh!!!Kwanini ATCL isipate hasara wakati zinatumika na Top three kama boda boda! Utasikia Rais yupo Rwanda na lile dege kubwa Dreamliner, Makamu yupo Burundi na Airbus, huku PM yupo kwao kusalimia kwa Bombardier. Nchi imepoteza dira kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini ATCL isipate hasara wakati zinatumika na Top three kama boda boda! Utasikia Rais yupo Rwanda na lile dege kubwa Dreamliner, Makamu yupo Burundi na Airbus, huku PM yupo kwao kusalimia kwa Bombardier. Nchi imepoteza dira kabisa.
Sawa lakini ukweli utabaki hapo hapo kwamba hili shirika la ndege ni Kimeo na mtambo wa kuteketeza kodi zetu, hata za hii miamala iliyopanda maana bado wanataka kuendelea kununua ndege nyingine.wao walifikaje bungeni?? walidhani wanafika hivi hivi bila kuchota pesa na kulipa mapololiccm na vyombo vingine? au ndio Nyani haoni.......