sio wabunge tu hata watanzania nao wengi ni tatizo. Elimu ilitolewa sana juu ya ununuzi wa hizi ndege kuwa haukuwa na nia njema wala tija. Hata hivyo waliendelea kushangilia.Pythagoras,
Hawa Wabunge wa CCM wanatufanya Watz hatuna akili!! Wapinzani wakipiga kelele sana Bungeni kuhusu ununuzi wa hii midege ya MABILIONI ambayo HAINA FAIDA YOYOTE KWA ATCL, SERIKALI NA WATZ!!!
Wabunge hawahawa walikuwa wakishangilia na kupiga meza kukubaliana na ujinga huu......Pambaf kabisa!!!