Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awamu hii? Wamejipambanua vipi na Magufuli? Sioni tofauti ya fikra na nyendo zao.Zote hizi ni matokeo ya utawala mbovu wa Magufuli. Awamu hii haihusiki.
Hata sishangai, management bado ileile, wanasiasa walewale, tabia zao zilezile, chama kilichoshindwa kilekile, kupata hasara iko kwenye DNA yao.
[emoji1787][emoji23][emoji1787] Welcome Tanzania.Yule mzee alituona mazwazwa sana...
Kamati inasemaje kuhusu ule uwanja wa kimataifa wa Chato? Njiwa zinatua pale au tufanye uwanja wa ng'ombe kuotea jua wapate vitamin D kwa wingi?
Unajua raha ya kupanda ndege mpya tena yenye nafwasi. Hiyo GS viti vimeshakaliwa na kina prof “mia kenda” na mabox ya juisi.Swali nimeshauliza sana; ndege ya rais wetu ni Gulfstream iliyonunuliwa kwa mbwembwe kuwa hata kama watanzania tutakula nyasi lazima rais awe na gulfstream. Cha ajabu siku hizi rais hasafiri kwa gulfstream tena ingawa ina masafa marefu kuliko hiyo airbus, bado rais wetu anapenda airbus tu ambyo ni ndege ya abiria kibiashara. Gulfstream ilimpeleka mama Kikwete Brazil non-stop kutoka Dar hadi Rio; hii airbus haiwezi kufanya trip ya aina hiyo, lakini mama kaing'anagania kweli kweli!
Hatuna Bunge, tunakiini macho cha Bunge.Kamati ya bunge yang'aka na kushangaa deni la shirika la ndege la ATCL kufika shilingi bilioni 472 na kuna hatari ya kufirisika na kufa kama seikali haitaingilia kati.
HT gazeti Mwananchi
,😆😆😆😆😆🖕🏿👌🏿
Mimi : Bwana mwenye duka" nataka ile basikeli ya laki tano,,Mwendazake alifufua shirika hili kishabiki sana kuonyesha kwamba yeye anaweza kununua midege mikubwa kwa cash huku watanguzi wake wote walishindwa - mbaya zaidi alifanya haya bila upembuzi yakinifu. haya sasa kazi hiyo.
Huu ndio ukweli wenyewe 😂😕.Mimi : Bwana mwenye duka" nataka ile basikeli ya laki tano,,
Mwenye duka: ,,Hii hapa mzee"
Acha tu lijifie kwa sababu wenye mamlaka hapa kwetu hawataki kufikirisha akili zao.Kamati ya bunge yang'aka na kushangaa deni la shirika la ndege la ATCL kufika shilingi bilioni 472 na kuna hatari ya kufirisika na kufa kama seikali haitaingilia kati.
HT gazeti Mwananchi
Mkuu karibu sana jukwaaniKamati ya bunge yang'aka na kushangaa deni la shirika la ndege la ATCL kufika shilingi bilioni 472 na kuna hatari ya kufirisika na kufa kama seikali haitaingilia kati.
HT gazeti Mwananchi
tax exemptiontax exptional
Hivi kipindi cha Mwamba hii kamati ilifutwa.., maana kwa kipindi kile ulikuwa mwendo wa faida tu..,Kamati ya bunge yang'aka na kushangaa deni la shirika la ndege la ATCL kufika shilingi bilioni 472 na kuna hatari ya kufirisika na kufa kama seikali haitaingilia kati.
HT gazeti Mwananchi
Mbona wakati yule mzee yupo hai hawakung'aka hivi?!Yule mzee alituona mazwazwa sana...
Kamati inasemaje kuhusu ule uwanja wa kimataifa wa Chato? Njiwa zinatua pale au tufanye uwanja wa ng'ombe kuotea jua wapate vitamin D kwa wingi?