Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Waache tu hao ndege wafe maana wapo Eapoti wanalalia tu hawatotoi wao ni kulalia tu huku sisi tunawalisha na wananenepeana kwa tozo za lazima.Kamati ya bunge yang'aka na kushangaa deni la shirika la ndege la ATCL kufika shilingi bilioni 472 na kuna hatari ya kufirisika na kufa kama seikali haitaingilia kati.
HT gazeti Mwananchi