Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Haya yote mwisho 2025 maana chadema inaingia ikulu na Mbowe amakuwa rais maana chadema hawawezi kuendesha nchi kwa hasara.Hata sishangai, management bado ileile, wanasiasa walewale, tabia zao zilezile, chama kilichoshindwa kilekile, kupata hasara iko kwenye DNA yao.