maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
Unadhani hii hasara imeletwa na ujenzi wa uwanja wa chato? Au ni namna serikali yako pendwa inavyozitumia ndege kama daladala?Yule mzee alituona mazwazwa sana...
Kamati inasemaje kuhusu ule uwanja wa kimataifa wa Chato? Njiwa zinatua pale au tufanye uwanja wa ng'ombe kuotea jua wapate vitamin D kwa wingi?