Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Serikali iache upumbavu,ATCL sio shirika la kigeni ichukue deni lote na ianze upya la sivyo ikodishe ndege kwenye mashirika yanayoweza Leta faida iachane na biashara hiyo ya kuharibu pesa zetu.Ndege zote ni za serikali. ATCL ni wakodishaji. ATCL wanailipa serikali wanapozitumia. Muwage mnaelewa basi.