Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Unaelewa hata tupo katika uzi gani na tunazungumzia nini?Hapa tunazungumzia kamati iliyopendekeza kuwa Tanzania itangaze kuwa Corona ipo.Hatuzungumzii juu ya mimi na wewe!Corona ipo hupo nyumbani kwako? Maana mimi na wenzangu tulisha sahau kitambo?
Unaihitaji? Basi ikija ianze na wewe na ukoo wako maana mnaitamani