Mimi ni Mtanzania naijali afya yangu na ya wale walio katika makundi hatarishi kupata COVID-19, nayapokea maelekezo ya wataalamu kwa mikono miwili kama hizo chanjo ndio moja ya solution madhubuti kwasasa nipewe na wengine wanaohitaji wapewe bila ya kulazimishwa au kukatazwa.Maoni ya watanzania katika mitandao ya kijamii, wamekerwa na Chanjo
Hii ni ishara nyingine mbaya kwa Samia SuluhuView attachment 1788528View attachment 1788529View attachment 1788530View attachment 1788531View attachment 1788532View attachment 1788533View attachment 1788534View attachment 1788535
Mi mwenyewe nimeshangaa!Watanzania wa wapi???
Sahihi kabisaChanjo siyo lazima mkuu, and kuna watu wabasafiri nje ya nchi, itafika kipindi condition itakuwa ni uwe umechanjwa, kama ilivyo manjano
Lock down hakuna.Wanaosema lock down wanataka kumkwamisha mamaBasi tumwombe Mungu tusifike huko, Mimi sioni haja ya lockdown, tupige kazi tu huku tukichukua tahadhar!
jokate anaingiaje hapa tena jamanijokate
Wa Tanzania 😃😃😃Watanzania wa wapi???
mentall case
Watu washakuwa brainwashed kwa hiyo nguvu kubwa itahitajika kuwashawishi watu kutumia kinga.Maoni ya watanzania katika mitandao ya kijamii, wamekerwa na Chanjo
Hii ni ishara nyingine mbaya kwa Samia SuluhuView attachment 1788528View attachment 1788529View attachment 1788530View attachment 1788531View attachment 1788532View attachment 1788533View attachment 1788534View attachment 1788535
"UPE" - Universal Primary Education?Mnisamehe, nalisema lkn mnisamehe. Majaji wa UPE
UpuuziBaada ya mda mrefu naona wataalam Tanzania wanaanza kurudia elimu zao! Sijui mwendazake angetuongoza kwa miaka mingine kumi ingekuwaje...
Kweli kabisa....kama wanataka kufufua jambo ambalo limeshazikwa.Maprofesa wetu haya maisha ya kawaida hawayajui na hayawahusu wanashindwa kujua mama akikosea hapa italigharimu taifa na yeye itamgharimu maana ndo mtu pekee wananchi wanaweza kumhukumu 2025.ila akitenda kwa busara itakuwa heri kwake.
Mama kajizungusha zungusha na ile kamati yake ya corona muda wote nikadhani inafanya utafiti huko na kutuletea tusiyoyajua matokeo yake imekuja na mapendekezo ambayo hakuna jipya, hapo kinafuata ni kuona wingi wa maambukizi na vifo ili tukamilishe ule usemi wa Tanzania sio kijiji ili tuonekane tunaenda sawa na dunia.Mama Samia kazunguka sana asionekane yeye ndio kaja na msimamo tofauti juu ya Corona.
Anaogopa kivuli cha JPM?
Hajiamini?
Bado viatu vya urais vinampwaya?
Hongera kwake kwa kuitokomeza Corona rasmi. Hatutegemei kusikia watu wanakufa kwa Corona. Tumuunge mkono.
Ualimu Pasipo Elimu..... majaji wanateulwa kwa vile majaji hawatoshi, siyo kwa vile wana sifa. Ukion madaktari bingwa hawatoshi unachagua clinical officers, manesi kuwa madaktari bingwa"UPE" - Universal Primary Education?