#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Fafanua kidogo mkuu? Sio kwamba kuna vigogo wanataka kupiga pesa kupitia chanjo?
 
Upuuzi tu kujifanya kama hakuna kazi yoyote imefanyika kuhusu corona.
 
Ukisoma ripoti nzima hakuna jipya na ni yale yale tunayoyasikia mataifa ya nje.Inaonekana hawakutumia ujuzi na akili zao wala kusikiliza maoni ya wananchi bali wamekopi na kubandika.

Hivi kamati haijasikia kwamba chanjo nyingi zina madhara na mataifa kadha wa kadha wanazirejesha kwao.

Na hawajasikia kuwa taifa lillochanjwa kwa zaidi ya asilimia 60 corona ndio kwanza inaongezeka.

Na kwamba sasa corona huko ilipo haichagui tena umri,mbona wao bado wanagwa makundi ya watoto na wazee.
 
Endelea kudhani dhani tu. Ipo siku utadhani kuwa nawe ni mwanamke!
 
Koona ipoo..jameni..kwisha Tanzania ..tutaanza kujazwa hofu na masharti ya ajabu ajabu ya kulazimishana kuvaa barakoa...Uwii jiwee tutakumis kwa misimamo wako aisee
Hii misimamo ndo imemgharimu!
 
Hao tayari walishanunuliwa na mabeberu...hata majina yao yalikuwa Siri...

Ambao hamjanunuliwa utakuwa wewe na hili jamaa Mjingamimi.

Wapumzike kwa amani wahanga wote walio kuwa wametelezewa hili gonjwa.

Inasikitisha kuwa maisha yaliachwa kupotea ambayo kwa hakika hayakupaswa kupotea.

Hivi kina Prof Mchembe na Makubi na waziri Gwajima bado wako ofisini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…