#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Kilio cha wanachadema kimesikiwa, nadhani wakiongeza kelele kidogo tu kuhusu lockdown, Napo watasikiwa na baada ya hapo chanjo itafuata

Sasa nyinyi CCM kaeni na agenda yenu ya kutoyatambua hayo Ila nchi inaenda kuambiwa Corona ipo hata kama tulifahamu hivyo
CHADEMA walileta corona
 
Ndo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?

Halafu sidhani kama Samia atayasoma 🤣.

Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.

Yeye ni mitandao tu 🤣🤣.
😂😂😂😂😂 We ni thinker of the year
 
Huyu mwenyekiti wa kamati ya uchunguzi wa Korona ni aje?, unataka kumvunja mikono Rais wetu, zigo lote hilo la nini? summarise report yako safi ya page 40 mpe mama, kisha hayo madude yawe supporting docs... au mzee na wewe unataka uteuzi??
 
Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania;

1) Itangaze uwepo wa Corona
2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona
3) Ikubali maadhimio ya Kikanda na Kimataifa
4) Ipanue maktaba za kupima
5) Itoe takwimu sahihi za Corona
6) Tiba asili zitathiminiwe Kisayansi
View attachment 1788475
Watangaze kuwa corona ipo kwa viongozi wa serikali tu....sisi wanchi wa kawaida hatujui nini kinaitwa corona. Mishe zetu zinaenda kama kawa.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Nimesubiri hii ripoti kitambo kwa kilichosomwa naona ni ripoti ya kukaa tu na kuandika ambayo mtaalamu yeyote wa kuandika anaweza kuandika. Labda nikisoma mwenyewe naweza kuona jambo lolote kubwa.

Sijajua kwanini kulikua na ulazima wa kamati hii kama hiki walichoshauri na kuandika ndicho walikua wanakitafiti na kukifuatilia kwa muda wote.
 
Ndo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?

Halafu sidhani kama Samia atayasoma 🤣.

Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.

Yeye ni mitandao tu 🤣🤣.
Ana akili sio kujifungia na mifaili mpaka unapata mafua makali.
 
Kwa mujibu wa mataga watesama mwenyekiti wa kamati alikuwa mbowe
 
Back
Top Bottom