#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Kwa muda mrefu sasa tumeishi bila ya hofu ya Corona na hiyo imemetufanya tumshinde huyu adui, sasa ni rasimi kuanza kuwekewa masharti ya watu wangapi wanapaswa watembee njiani na gari libebe watu wangapi, sherehe za kufunga ndoa nazo, baa nazo, Masokoni Napo, Kwenye nyumba za Ibada n.k
 
Kwa mujibu wa DPC Gerson Msigwa Kamati maalumu iliyoundwa na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kufanya tathmini ya ugonjwa wa corona ( Covid-19) itawasilisha taarifa yake leo alasiri mbele ya Rais Ikulu Jijini Dar es salaam

Matangazo ya moja kwa moja kupitia vyombo mbalimbali vya habari

---
View attachment 1788449
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kufanya tathmini ya Ugonjwa wa Corona -COVID -19 nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Profesa Said Aboud​
Huu uvaaji was barakoa was bimkubwa kweli korona ipo au ndo vile tena??
 
🐒🐒🐒
87621.jpg
54321098876.jpg
09876hb.jpg
 
Yote tisa,nawaza tutakapolazimishwa kuchanjwa...
 
Kwa mujibu wa DPC Gerson Msigwa Kamati maalumu iliyoundwa na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kufanya tathmini ya ugonjwa wa corona ( Covid-19) itawasilisha taarifa yake leo alasiri mbele ya Rais Ikulu Jijini Dar es salaam

Matangazo ya moja kwa moja kupitia vyombo mbalimbali vya habari

---
View attachment 1788449
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kufanya tathmini ya Ugonjwa wa Corona -COVID -19 nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Profesa Said Aboud​
ile KAMATI ILIYOPIMA MAPAPAI na kusema yana COVID 19 leo itajificha wapi?

Hii nchi ilichezewa sana na wasukuma.
 
Ndo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?

Halafu sidhani kama Samia atayasoma [emoji1787].

Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.

Yeye ni mitandao tu [emoji1787][emoji1787].
Nyani Ngabu vipi kwa mtazamo wako hii kitu unaionaje .Kuna faida au ni hasara
 
Kwa lipi...?
Magu alisema fanyeni kazi huku mkijikinga na kumuomba MUNGU,
-Magu alisema CORONA ipo ila tutaishinda.
-Magu alikataa kinga( chanjo ) ambayo hata wazungu waliipinga baadae baada kuona inaleta madhara baada ya kukinga watu.
- Magu alikataa barakoa ambazo kutoka nje alisisitiza tutengeneze barakoa wenyewe, baadae zilishikwa nchi za wenzetu zikiwa na vimelea vya virusi vya korona.
Mzungumzie Magu katika mambo mengine ila katika kupambana na CORONA utakuwa huna akili nzuri.
Corona ipo na chanjo wanaotaka watapata..hutaki hama nchi.
 
Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania;

1) Itangaze uwepo wa Corona
2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona
3) Ikubali maadhimio ya Kikanda na Kimataifa
4) Ipanue maktaba za kupima
5) Itoe takwimu sahihi za Corona
6) Tiba asili zitathiminiwe Kisayansi
View attachment 1788475
Cha msingi sijaona napendekezo ya lockdown, na hyo ndiyo habar njema.

Kazi iendelee!
 
Simpendi Magufuli na nimeona bora kafa
Ila kwenye ishu ya Corona alicheza kama Pele
Kwa nn haya mafua yanapigiwa chapuo namna hii tofauti na TB Ukimwi n.k
Kipo kitu nyuma ya pazia
 
Kwa hiyo mwenzako akilala njaa na wewe utalala njaa?
Mwaka wa pili huu tangu wimbo wa corona, Watu tunaishi vizuri tu,hapo Kenya alipokwenda kujifunza walijifungia mpaka wakachoka mpaka sasa wameamua kuishi nao na kuchapa kazi, sasahivi mashule yamefunguliwa,eti Sisi huku ndio tunatangaza corona,ni njinga tu anayeweza kuamini hii ripoti,kisa eti awafuraishe wazungu wampe misaada
 
Back
Top Bottom