Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano tenaSaa 9 majaji ndio wanaapishwa bwashee!
Ok itakuwa two in one!
Chanjo haiepukiki lakini mwenge ungeweza kusubiri hadi mwakani!
Mwaka wa pili huu tangu wimbo wa corona, Watu tunaishi vizuri tu,hapo Kenya alipokwenda kujifunza walijifungia mpaka wakachoka mpaka sasa wameamua kuishi nao na kuchapa kazi, sasahivi mashule yamefunguliwa,eti Sisi huku ndio tunatangaza corona,ni njinga tu anayeweza kuamini hii ripoti,kisa eti awafuraishe wazungu wampe misaada
Kwani me nmepinga kaka...?Corona ipo na chanjo wanaotaka watapata..hutaki hama nchi.
Keyboard warrior una jeuri gani yakukataa kitu ikiwa jiwe aliwaburuta kama Ng'ombeMatumizi mabaya ya kodi za wananchi tu taarifa gani watazitoa zaidi ya porojo tu Dunia nzima inajua covid ipo. Tanzania tulisema Covid hakuna kwetu na mazingira tunavyoishi mtaani kama ingekuwepo kweli kila siku tungekuwa tunazika watu .
Waje na porojo zao but swala la lockdown na chanjo hatutaki ..maana chanjo imekuwa ni biashara kubwa na inampaka madalali na nina imani hata watu wa tume madalali wameshawafata
Naona kuna mtu anataka kufungua duka saa 2 usk wakat wenzie wanakaribia kufunga biashara .
Nafikiri tunaenda kutangaza lockdown, sijui familia kama zina chakula cha kutosha majumbani. Nahisi vifo vya njaa vinakaribia hongereni CHADEMA naona Sera zenu zinatekelezeka.Kilio cha wanachadema kimesikiwa, nadhani wakiongeza kelele kidogo tu kuhusu lockdown, Napo watasikiwa na baada ya hapo chanjo itafuata
Sasa nyinyi CCM kaeni na agenda yenu ya kutoyatambua hayo Ila nchi inaenda kuambiwa Corona ipo hata kama tulifahamu hivyo
Utapewa ukatibie tetekuwanga.Sasa ile mashine ya nyungu pale MNH itakuwaje!?
Kamati inasema nini?
Inataka kuibua hofu na taharuki kwa wananchi,wananchi wote wanajua kama corona ipo....ya nini kutishana bwana,wakati mwingine anco alikuwa sahihi...wazungu hawatutakii mema kabisa na haya mavibaraka yao.
Watangaze kuwa corona ipo kwa viongozi wa serikali tu....sisi wanchi wa kawaida hatujui nini kinaitwa corona. Mishe zetu zinaenda kama kawa.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Leo unamuita shujaa? (ingawa napo umemuita kwa kejeli). Unapendeza unapomuitaga kwa matusi mazito.Itangaze uwepo wa Corona?Kwa hiyo Corona ipo Tanzania ila Serikali ya shujaa ilikuwa inaficha kwa maslahi ya shujaa?
Sijui kama familia ya Magufuli itakuelewaNi upumbavu kupoteza Muda na hela Sababu ya vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
Mkuu Covid ipo toka 2019 imepiga waves zote kwa nguvu nchi ambayo kwa sasa covid inaitesa ni INDIA ,Tanzania tuliamua kuchukua uamuzi wa wachache yani No Lockdown kuvaa mask ni utashi wako na kutozuia mikusanyiko na Mungu alikuwa upande wetu kwa maana hatuna athari kubwa sana za covid mpk sasakinachotafutwa ni justifications... ili maamuzi atakayofanya mama ambayo tayari anayo tudhani yametokana na hii tume.. ni technique moja ya ufanyaji kazi.
Hawa wataeka wapi sura zao, ila wanasiasa wanavyojua kujitetea utasikia wanavyo mruka jiwe