Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Balaa tupuMkuu, kinachokufurahisha ni hiki kitendo cha kamati ya Corona kuiytambua korona hata kama huko nyuma tulifahamu kuwa ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa tupuMkuu, kinachokufurahisha ni hiki kitendo cha kamati ya Corona kuiytambua korona hata kama huko nyuma tulifahamu kuwa ipo
Huwezi kupewa vyote..umeletewa uliyempenda sasa penda na namnaa anavyoshugulikia hili.Simpendi Magufuli na nimeona bora kafa
Ila kwenye ishu ya Corona alicheza kama Pele
Kwa nn haya mafua yanapigiwa chapuo namna hii tofauti na TB Ukimwi n.k
Kipo kitu nyuma ya pazia
Wenzio wanaanua matanga ww ndo unataka kufunga Matanga ya msiba tena !!haya ngoja tuwaone mfungiwe ndani ,mvalishwe matambaa mdomoni na kkoo msijazane tuone umachinga wako utafanyia wapi..Keyboard warrior una jeuri gani yakukataa kitu ikiwa jiwe aliwaburuta kama Ng'ombe
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Hivi kwanini mlikuwa mnawaambia watu kuwa Tanzania hakuna corona?Kilio cha wanachadema kimesikiwa, nadhani wakiongeza kelele kidogo tu kuhusu lockdown, Napo watasikiwa na baada ya hapo chanjo itafuata
Sasa nyinyi CCM kaeni na agenda yenu ya kutoyatambua hayo Ila nchi inaenda kuambiwa Corona ipo hata kama tulifahamu hivyo
Wewe hapo umepata chanjo?mbona maisha yanaendelea kama kawaida;hapa Tanzania hatuna corona,kama ingelikuwepo akuna hata mmoja wapo angebaki, Sasahivi ndio tunakwenda kupata corona maana tumeikaribisha lasimiWenzenu wanapata chanjo wanatoka ndani unafikir wanatoka kwa kuwa wamechoka hii nchi ina wapumbavu sana
Kayafa alikufa kwa Corona.Leo unamuita shujaa? (ingawa napo umemuita kwa kejeli). Unapendeza unapomuitaga kwa matusi mazito.
Mbona unasoma nususnusu hapo kuna kipengele cha matumizi huru ya chanjo na sahihi.Mkuu, kinachokufurahisha ni hiki kitendo cha kamati ya Corona kuiytambua korona hata kama huko nyuma tulifahamu kuwa ipo
Nchi gani ya kuweka wananchi lockdown ?Kilio cha wanachadema kimesikiwa, nadhani wakiongeza kelele kidogo tu kuhusu lockdown, Napo watasikiwa na baada ya hapo chanjo itafuata
Aisee mbona unachukuwa jukumu la kutusemea mimi na familia yangu na marafiki zangu.tumekutuma?Watangaze kuwa corona ipo kwa viongozi wa serikali tu....sisi wanchi wa kawaida hatujui nini kinaitwa corona. Mishe zetu zinaenda kama kawa.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Hapo sawa sio tunadanganywa tupige nyungu
Yaani tumetoka mbali jsman
Wewe umeiona wapi corona?Hivi kwanini mlikuwa mnawaambia watu kuwa Tanzania hakuna corona?
Soma tena umeambiwa chanjo huru na sahihi.Yote tisa,nawaza tutakapolazimishwa kuchanjwa...
Ewaaaaa kama hivyoKayafa alikufa kwa Corona.
HOFU inaanza kutengenezwa kwa makusudi.Huyu mama watampoteza MABOYA
Bora angeendelea kufanya KAZI.
Nchi ilitulia hii na Mambo ya Corona.
Sasa anaenda kulitibua upya
Kwa nini tusiishi nao kimya kimya kama hayo magonjwa mengine, lakini tahadhari zichukuliwe na sio promo na matakwimu kila siku.....kama chanjo ikija anaetaka achome na isiwe lazima....Ukweli usemwe kipindi corona inaingia zile takwimu za kila siku zilileta hofu kubwa sana ya maisha....naamni mpaka leo hii tungekuwa ndani tumekwisha kwa njaaa na hofu...Hivi hivi tunaishi watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida,leta hayo wanayoyataka hiyo tume uone maisha yatakavyo badilika.Watakuwa wajinga sana hao wenye hofu ilikiwepo tb na watu walienda sawa had kumetulia waje kuogopa corona? Hizi porojo za mwendazake hazina nafasi
We mwenyewe tayar hapo hamna hata kitu kimoja unatumia cha tanzania halafu kwenye mitandao mnajidai kuwakataa mabeberu nyie na yule jamaa wa chato bure kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jesus..Bila nyungu.hali ingekuwa mbaya Sana.
UKWELI usemwe.