mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
MTU anaona mwenyewe nchi yake haina SHIDA ya Corona.
Watu hawavai barakoa wala kutumia sanitizer.
Na bado watu wanadunda wapo salama.
ILA anaona haitoshi
Hii nchi ilishatabiriwa Sana kuhusu Corona ILA tulivuka.
ilishajengwa propaganda kuwa kila dereva wa Tanzania akienda nchi jirani ana Corona.
Na bado tukavuka.
Watu hawavai barakoa wala kutumia sanitizer.
Na bado watu wanadunda wapo salama.
ILA anaona haitoshi
Hii nchi ilishatabiriwa Sana kuhusu Corona ILA tulivuka.
ilishajengwa propaganda kuwa kila dereva wa Tanzania akienda nchi jirani ana Corona.
Na bado tukavuka.
HOFU inaanza kutengenezwa kwa makusudi.
Lengo ni chanjo na lockdown.