#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

MTU anaona mwenyewe nchi yake haina SHIDA ya Corona.
Watu hawavai barakoa wala kutumia sanitizer.
Na bado watu wanadunda wapo salama.
ILA anaona haitoshi
Hii nchi ilishatabiriwa Sana kuhusu Corona ILA tulivuka.
ilishajengwa propaganda kuwa kila dereva wa Tanzania akienda nchi jirani ana Corona.
Na bado tukavuka.
Unasema hii nchi tulishavuka.tumevukaje vukaje mzee.toa taarifa /takwimu acha maneno ya marehemu magufuli kaleta ubishi mpaka Corona imemuua.
 
Wajinga sana ninyi.
Badala ya kuongea na sayansi ninyi mnapiga domo.
Marekani sasa hivi wameshapigwa chanjo watu MILIONI 160, chanjo ya KWANZA, na MILIONI 120 Chanjo ya PILI.

Wajinga ninyi mnategemea hao watu kufa?
Tatizo ya mijitu mliozoea madogoli shida sana.
 
Hao waambiwe hata Chanjo za kifaduro, Kifua kikuu, Homa ya ini, surua na polio zinatoka hukohuko kwa wazungu

Kana hawazitaki waambie watengeneze zao!

*************************************

Baada ya kusema hayo, hata mimi nataka tusikurupuke kwenye kupokea hizo chanjo, Hebu tukae kwanza kama miaka mitano tusikilizie, tukiona hazijawadhuru waliochanja basi hapo ndo tuamue kuchanja au la, tusikurupuke!
 
Hapana mkuu..unajua shida hapa ni mahaba na tunavyojaribu kuchambua tu mambo..jpm alianza vizuri uraisi wake,,baada ya muda akapiga u-turn ya ajabu na ameacha mambo hovyo..NSSF na PSSSF ni mfano na Samia ameadmit hili waziwazi
muda ni mwalimu mzuri.
 
Anachokifanya Rais wetu ni sahihi kabisa kinahitaji pongezi badala kubeza ukweli wa kisayansi. Asietaka chanjo sio lazima aendelee ya yake ila asituletee maambikizi. Udhibiti utawekwa sehemu za halaiki.
 
Sawa Corona imemuua.
ILA wewe NI MZIMA
Au na wewe unaumwa Corona?
Unasema hii nchi tulishavuka.tumevukaje vukaje mzee.toa taarifa /takwimu acha maneno ya marehemu magufuli kaleta ubishi mpaka Corona imemuua.
 
Kwa lipi...?
Magu alisema fanyeni kazi huku mkijikinga na kumuomba MUNGU,
-Magu alisema CORONA ipo ila tutaishinda.
-Magu alikataa kinga( chanjo ) ambayo hata wazungu waliipinga baadae baada kuona inaleta madhara baada ya kukinga watu.
  • Magu alikataa barakoa kutoka nje ya nchi/ za misaada alisisitiza tutengeneze barakoa wenyewe, baadae zilishikwa nchi za wenzetu zikiwa na vimelea vya virusi vya korona. Katka hlo alitengeneza ajila kwa waTZ
  • Magu alikataa kuwafungia watanzania quarantine na tukafanye kazi, kutafuta chakula ili tusife njaa.

NB :ukiachana na siasa Magu alifanya vyema katika kupambana na CORONA
Wengi wanaunga mkono hoja wakidhani ni kumkomoa JPM.
wanapendekeza takwimu sahihi za corona zitangazwe ili iweje?wanaotangaza visa wameimaliza huko?
 
Daah aisee ila mi kuvaa hayo mabarakoa sipendi kwakweli. Ni bora iwe hiyari na sio lazima. Wakiweka maisha yawe kama mwaka jana, hali itakua ngumu sana.

Mambo yawe hivi hivi, iyo chanjo nayo iwe hiyari ya mtu kuchanjwa.
 
Kwa lipi...?
Magu alisema fanyeni kazi huku mkijikinga na kumuomba MUNGU,
-Magu alisema CORONA ipo ila tutaishinda.
-Magu alikataa kinga( chanjo ) ambayo hata wazungu waliipinga baadae baada kuona inaleta madhara baada ya kukinga watu.
  • Magu alikataa barakoa kutoka nje ya nchi/ za misaada alisisitiza tutengeneze barakoa wenyewe, baadae zilishikwa nchi za wenzetu zikiwa na vimelea vya virusi vya korona. Katka hlo alitengeneza ajila kwa waTZ
  • Magu alikataa kuwafungia watanzania quarantine na tukafanye kazi, kutafuta chakula ili tusife njaa.

NB :ukiachana na siasa Magu alifanya vyema katika kupambana na CORONA
Nakazia hapa, yaani Magu alifeli kwenye mambo mengi makubwa lakini kwenye corona hakika alicheza kete bora kabisaa, tukiachana na siasa Magu katima corona he was good at his best!
 
Wanatengeneza kupata aibu ni watanzania wengi watapinga chanjo
 
Hilo la kutoa takwimu za corona litakuwa jambo gumu kweli kweli... yani itakuwa ni kulamba matapishi.... mzee meko aliharibu mambo sana
Nakumbuka enzi za Magu,alikuwa anapenda kusema sina wasiwasi na Samia,halafu mama Samia anashikanisha mikono na kuinama kidogo kama ishara ya utii🤣🤣🤣🤣
 
Cha msingi sijaona napendekezo ya lockdown, na hyo ndiyo habar njema.

Kazi iendelee! lockdown
lockdown hujaiona? Wamesema takwimu zitangazwe hizo mask,vyipimo vyanavyoonyesha postive mpaka papai,ndo Tanzania itaonekana cha India kimeingia,wakubwa watamwambia fanya lockdown kama wanavyofanywa Kenya.
eeh Mungu kwanini?
 
Back
Top Bottom