Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana akili gani?Ana akili sio kujifungia na mifaili mpaka unapata mafua makali.
Hamna kitu hapo wastage of resources and time
kinachotafutwa ni justifications... ili maamuzi atakayofanya mama ambayo tayari anayo tudhani yametokana na hii tume.. ni technique moja ya ufanyaji kazi.Matumizi mabaya ya kodi za wananchi tu taarifa gani watazitoa zaidi ya porojo tu Dunia nzima inajua covid ipo. Tanzania tulisema Covid hakuna kwetu na mazingira tunavyoishi mtaani kama ingekuwepo kweli kila siku tungekuwa tunazika watu .
Waje na porojo zao but swala la lockdown na chanjo hatutaki ..maana chanjo imekuwa ni biashara kubwa na inampaka madalali na nina imani hata watu wa tume madalali wameshawafata
Naona kuna mtu anataka kufungua duka saa 2 usk wakat wenzie wanakaribia kufunga biashara .
Ni upumbavu kupoteza Muda na hela Sababu ya vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
Hiyo hiyo ya kuepuka mafua makali 😀Ana akili gani?
Mama ndo umeona uwaponze waTz kwa kuwaletea chanjo ili uwafurahishe mabeberu???..
Vice versa is true.Truth is Objective but
Reality is subjective.
Tunaomba muhutasari wa ripotimapendekezo yapo vizuri endapo tu serikali itayatekeleza na kuyasimamia
Sasa ni muda wa wapigaji wa barakoa feki kutajirika na kujimilikisha mikalio ya akina Nandy & kajala
Kwa lipi...?Magu alikua anaipeleka hii nchi kwenye shimo.
Sasa ile mashine ya nyungu pale MNH itakuwaje!?
Mwendakuzimu hakufa Sababu ya hivyo vijimafua naomba uelewe hivyo tu babu!!Mwenzio yupo chato kapumzika na hizo ngonjera
Chanjo aliyekuambia utafungwa kamba ili upewe ni nani?Mama ndo umeona uwaponze waTz kwa kuwaletea chanjo ili uwafurahishe mabeberu???..
Mwendakuzimu hakufa Sababu ya hivyo vijimafua naomba uelewe hivyo tu babu!!