#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Ingawa na Mimi nasema chanjo ije ila mtanzania yeyote asilazimishwe kuchanjwa pls.

Wakilazimishwa nitajua mabeberu wamefanya Lobbying.
 
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua uneme?
Yani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lisu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!

Tunawasiasa wa hovyo kuwahi kutokea kwenye nchi hii, kwenye vichwa vyao wanajua wakilaani haya mapungufu watakuwa wamempromote hayati Magufuli.

Yani ni mijitu ya hovyo kabisa ndiyo maana wanaishi ulaya kwa jasho la wanaume wenzao.
Mama magenge ya Rushwa na ufisadi yatamsumbua sana
 
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua uneme?
Yani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lisu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!

Tunawasiasa wa hovyo kuwahi kutokea kwenye nchi hii, kwenye vichwa vyao wanajua wakilaani haya mapungufu watakuwa wamempromote hayati Magufuli.

Yani ni mijitu ya hovyo kabisa ndiyo maana wanaishi ulaya kwa jasho la wanaume wenzao.
Umepiga cha chuga?
 
Ni kweli dunia mpaka sasa hivi ipo katika mlipuko wa Covid 19 na kila mtu yupo na hofu kubwa.


Lakini mnachotaka kuaminisha dunia kuwa eti Tanzania yetu ipo kwenye hali mbaya kiasi cha kuhitaji chajo ya Covid 19 kwa uharaka bila kuwa na uhakika wa ufanisi wake ni kutaka kuwafanya watanzania ni wajinga.

Ukweli ni kuwa Watanzania sio wajinga maana kila kukicha wanafuatilia masuala mbalimbali ya kidunia


Watanzania wanajua kinachoendelea huko Brazil, Usa India na hata Bondeni kwa Ramaphosa. Kama hali ni tete kiasi cha kuanza kutisha watu kuvaa barakoa na kuhitaji chanjo bila uhakika wake Tanzania isingekuwa hivi.

Ukweli ni kuwa Covid 19 ipo lakini sio kwa vitisho na chanjo mnazotaka kuttuletea kwa mikwara.

Watanzania sio wajinga Tambueni hilo
IMG_20210517_172802.jpg
IMG_20210517_170931.jpg
 
Ni kweli dunia mpaka sasa hivi ipo katika mlipuko wa Covid 19 na kila mtu yupo na hofu kubwa.


Lakini mnachotaka kuaminisha dunia kuwa eti Tanzania yetu ipo kwenye hali mbaya kiasi cha kuhitaji chajo ya Covid 19 kwa uharaka bila kuwa na uhakika wa ufanisi wake ni kutaka kuwafanya watanzania ni wajinga.

Ukweli ni kuwa Watanzania sio wajinga maana kila kukicha wanafuatilia masuala mbalimbali ya kidunia


Watanzania wanajua kinachoendelea huko Brazil, Usa India na hata Bondeni kwa Ramaphosa. Kama hali ni tete kiasi cha kuanza kutisha watu kuvaa barakoa na kuhitaji chanjo bila uhakika wake Tanzania isingekuwa hivi.

Ukweli ni kuwa Covid 19 ipo lakini sio kwa vitisho na chanjo mnazotaka kuttuletea kwa mikwara.

Watanzania sio wajinga Tambueni hilo
View attachment 1791167View attachment 1791170
Pesa aliyotumia baba yako kukusomesha bora angenunua ng'ombe
 
Ingawa na Mimi nasema chanjo ije ila mtanzania yeyote asilazimishwe kuchanjwa pls.

Wakilazimishwa nitajua mabeberu wamefanya Lobbying.
Hakuna kulazimishwa ila wewe mwenyewe pale utakapo anza kujiona mjinga ikiwa umri umesonga na magonjwa nyemelezi yana gonga hodi. watu huwa wanajiamini wakijua watakuwa na nguvu zote daima. Dunia duara. unakuta mtu anakataa kupimwa ila yakimfika mwenyewe anakubali
 
Na bado tutashuhudia mengi zaidi. Nilisema baada ya mheshimiwa kututoka na sasa yanajitokeza. Mapendekezo ya kitoto kabisa. Eti tutangaze hadharani kuwa tuna korona mara eti tiba zetu za, asili sijui zifanyiwe upumbavu gan. Yaan hata hatujiamin sisi wenyewe. Sijui wasomi wetu wana madudu gani kichwani. Ona mifumo ya kiserikali inavyochezewa sasa. Hakuna nguvu ya kauli yoyote kutoka juu.
 
Mwendazake angefufuka leo, angeunga mkono mapendekezo ya kamati. Kwelu adhabu ya kaburi aijuaye maiti.
 
Na bado tutashuhudia mengi zaidi. Nilisema baada ya mheshimiwa kututoka na sasa yanajitokeza. Mapendekezo ya kitoto kabisa. Eti tutangaze hadharani kuwa tuna korona mara eti tiba zetu za, asili sijui zifanyiwe upumbavu gan. Yaan hata hatujiamin sisi wenyewe. Sijui wasomi wetu wana madudu gani kichwani. Ona mifumo ya kiserikali inavyochezewa sasa. Hakuna nguvu ya kauli yoyote kutoka juu.
Inasikitisha sana
 
Wote tumeshuhudia ile kamati iliyoundwa na rais Samia kuhusu Corona ilivyopopolewa na kupingwa kila kona na watanzania.
Dunia ilitakiwa ije kujifunza Tanzania tunavyopambana na corona lakini sasa hivi kuna nguvu kubwa inalazimisha sisi watanzania tukajifunze namna ya kupambana na corona huko India na Marekani walikokufa wengi.

Kwa report hiyo maprofesa wataendelea kutukanwa na akina Kibajaji na Msukuma wataendelea kusikilizwa na wananchi.
Haiingii akilini maprofesa wanatoa report utafikiri ugonjwa wa Corona umeibuka mwezi wa 3 mwaka huu, maprofesa eti wanapendekeza waziri wa afya aanze kukaa kwenye makamera na kutangaza leo tumepata wagonjwa wa corona idadi kadhaa...!
Kuna kila dalili hao maprofesa wamehongwa ili waje na mapendekezo hayo ya kuwatia hofu watanzania wakati hofu tulishaikataa tangu mwaka 2019.

Kwa muktadha huo nakuomba rais wangu mpendwa Samia Suluhu ipuuze kamati hiyo na mapendekezo yao yote kwani hayana tija yoyote kwa nchi yetu.
Hivi kweli unatetea HISIA ZA KIZALENDO zinazofurahisha nafsi tu ?!!!

Hivi unajua kuwa SERIKALI INAENDELEA KUIDHINISHA CHANJO ya magonjwa dhidi ya WATOTO WETU KILA UCHAO?!!!

Hivi kweli tuzikatae CHANJO dhidi ya KIFADURO ,PEPOPUNDA ,HOMA YA INI ,KIFUA KIKUU ,KICHOMI ,SURUA kwa kuwa tu ZINATENGENEZWA ULAYA NA NJE YA NCHI ?!!!

Hivi kweli SERIKALI YETU SIKIVU itashindwa kuzilinda afya za watanzania kwa sababu wanataka WAFE BAADA YA KUTUMIA CHANJO ?!!!

Hivi hili wimbi la uzalendo koko wenye UPOFU MWINGI linatokea wapi ?!!!

Hivi kuwa mzalendo ni kutoshirikiana na waitwao "mabeberu" ili uonekane mshindi ?!!!!!

WENGI WANAOPINGA HIZI CHANJO WAMEJAA TU NA MIHEMKO NA HISIA KOKO ZISIZO TAFITI BALI MAPAMBANO YA "KIHASAMA" YA KUJITUKUZA NA PIA KUPAMBANIA RANGI ZA NGOZI ZETU......

Mh.Rais Samia Suluhu Hassan ameshauriwa na wataalamu wetu na si "wapiga nzumari" vijiweni....

#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfCCM
 
Na bado tutashuhudia mengi zaidi. Nilisema baada ya mheshimiwa kututoka na sasa yanajitokeza. Mapendekezo ya kitoto kabisa. Eti tutangaze hadharani kuwa tuna korona mara eti tiba zetu za, asili sijui zifanyiwe upumbavu gan. Yaan hata hatujiamin sisi wenyewe. Sijui wasomi wetu wana madudu gani kichwani. Ona mifumo ya kiserikali inavyochezewa sasa. Hakuna nguvu ya kauli yoyote kutoka juu.
Acha ujinga wewe....Kwani Tanzania ilianza na mwendazake ?!!!

Hivi ninyi ujinga huu mnautoaga MASHIMO gani ?!!!

Tanzania itaendelea na lazima iendelee hata baada ya AWAMU YA 100.....

#StaunchSupporterOfTanzania
#DieHardFanOfCCM
 
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua uneme?
Yani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lisu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!

Tunawasiasa wa hovyo kuwahi kutokea kwenye nchi hii, kwenye vichwa vyao wanajua wakilaani haya mapungufu watakuwa wamempromote hayati Magufuli.

Yani ni mijitu ya hovyo kabisa ndiyo maana wanaishi ulaya kwa jasho la wanaume wenzao.
Sio wa hovyoo tu blazaaa...ni wanasiasa maviii kabisaaaaa...walistahil kuchapwaa risasii hata miaaaaa...mavi kabisaaa hawaaa
 
Hakuna kulazimishwa ila wewe mwenyewe pale utakapo anza kujiona mjinga ikiwa umri umesonga na magonjwa nyemelezi yana gonga hodi. watu huwa wanajiamini wakijua watakuwa na nguvu zote daima. Dunia duara. unakuta mtu anakataa kupimwa ila yakimfika mwenyewe anakubali
Swadakta...
 
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua uneme?
Yani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lisu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!

Tunawasiasa wa hovyo kuwahi kutokea kwenye nchi hii, kwenye vichwa vyao wanajua wakilaani haya mapungufu watakuwa wamempromote hayati Magufuli.

Yani ni mijitu ya hovyo kabisa ndiyo maana wanaishi ulaya kwa jasho la wanaume wenzao.
Mijinga sana hiyo mijamaa siasa zao sio za sera...
ni za kushambulia mtu....
Magu hayupo na wao wamepotea mazima...
Lissu huwezi msikia issue kama hizi
 
Back
Top Bottom