Kamati ya Maadili TFF yamfungia Michael Wambura kujihusisha na soka maisha

Kamati ya Maadili TFF yamfungia Michael Wambura kujihusisha na soka maisha

daa huyu jamaa kama amelala na bundi vile, gundu daily yeye alisha anza kula cake ya TFF sasa utamu umepitiliza haya acha picha liendelee,,.
 
Hili jamaa lina aleji na pesa, hivi watu wa Simba mkiona pesa sehemu ni kwa nini mnashindwa kuushinda moyo?

wewe ni mtu mzima acha kushabikia uzushi kwa kuleta usimba na Uyanga hakuna kesi hapo sema tatizo nikumaliza mtandao wa malinzi kwenye soka basi
 
Wambura anatia aibu sana ! hivi kabila gani huyu jamani ? Mtu unajijua una gundu lakini bado huachi wizi !

acha kushabikia ujinga juujuu na kupakana matope wakati tatizo linajulikana nikuumaliza mtandao wa Malinzi wala sio maendeleo yasoka acheni ujinga
 
Ha ha ha.. Vita na fitina zinaendelea TFF.. Mnaodhani Wambura amekutwa na hatia kihalali kabisa na "wasafi" wenye nia njema na kuendeleza soka la bongo, mmebugi step sana.. Hapa kinachoonekana ni mwendelezo wa kambi za Karia na Malinzi na isitoshe, watu wana mashaka na madaraka yao na zaidi wanafikiria urais baada ya miaka minne ya Karia kwani Wambura alishaanza kuonyesha nia ya kuwa mgombea wa urais wa TFF, uchaguzi ujao.. Hakuna hata afadhali hapo, sio Wambura wala Karia.. TFF itaendelea kufanywa shamba la bibi, kwa kuwa kuna maslahi mapana hapo..

huu ndo ukweli kwamba Karia ni mshenzi kuliko kiongozi yoyote aliyewahi kutokea hapo Tff
 
Ili mchezo wa soka unyanyuke nchini ni lazima kuyafagia magenge ya aina hii
 
WAMBURA NA MALINZI WAMEPATA WALICHOKUWA WANATAFUTA.WAMELAZIMISHA KURUDI KWENYE UONGOZI WA SOKA MPAKA WANAISHIA MAHABUSU.HII TAKATKA YOTE YA WALE VIONGOZI WABABAISHAJI WAFUNGWE TU WAKIANZIA NA MALINZI NA GENGE LAKE.WAKINA KABURU PIA KAMA WANAHUSIKA NA PESA ZA SIMBA WAWEKWE NDANI MPAKA TFF PAOGOPWE KAMA UKWENI.
Soka linakwazwa na genge hilo, acha wafagiwe
 
Wambura ana bahati mbaya sana na soka la Tanzania. Yaani tangu enzi za Nkurunzinza Ndolanga na Rage, huyu mzee amekuwa "akiipigania haki yake" kama outsider. Apumzike tu sasa na ale mpunga alioupiga.
 
Kama hii habari ni ya kweli HONGERENI SANA KAMATI YA MAADILI YA TFF kwa 'kuumeza mfupa huu uliowashinda wengi'

Katika makosa makubwa ambayo wadau wa mpira wamefanya nchi hii ni kumrudisha huyu jamaa kwenye medani ya michezo. Huyu jamaa hafai, ni bomu linalotembea na linaoweza kulipuka muda wowote. Kwa wanamfahamu huyu jamaa tangu alipokuwa Katibu Mkuu enzi zile za FAT ya akina Ndolanga, watakuwa wananielewa namaanisha nini.


Ileekamati yasimba ilikaaa wikikutoaa maamuzi kweli napitatu
 
Alichosahauu wamburaaa aliemtoaa malinzi yuko NA badoyuko akajuaa anarudi NA enziizile za upigaji

NA wahakikishia himve akula pekeeyake aliinamishwa namtu namgao akatoa akajua wakonae kumbe ndie wanaendamgongelea msumari
 
Utasikia anaenda mahakamani huyu jamaa...hivi hanaga kazi nyingine zaidi ya kutaka TFF tu?
 
Back
Top Bottom