Kamati ya maadili ya TFF ,Kwa hili la Manara mmekurupuka.

Kamati ya maadili ya TFF ,Kwa hili la Manara mmekurupuka.

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Rubbish
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Nakubaliana na wewe tangu awali.
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Naiman ukirudia kusoma ulichoandika utajilaumu sana kujikosea heshima nafsi yako

Naamin wewe ni great thinker na ulichoandika hakiendan na wewe.
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Tulieni basi wasomewe tuhuma zao kwanza
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Rudi Shule kajifunze kuandika vizuri sio unateleza tu kama Bata,uandishi gani huo hata mwanangu wa chekechea anakushinda!!!
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Huyu anayeitwa "KARIA" lazima aachie ngazi mwenyewe pale TFF maana Aibu na fedheha atakayoipata is Wonderful, maana anazidi kuvuliwa nguo na Manara dadeq😂😂..

Manara shikilia hapohapo hakuna wa kukufungia pale TFF, kama Yanga ni kubwa kuliko hata CCM. Sasa kuna kitaasisi chochote kitakuja kuringa mbele ya Yanga?
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Uzuri alishawaambia anaujua uvungu WA fitna kwenye vilabu na hapo pangoni TFF🤔
 
Kwakua wanajua huko yanga kumejaa wababaishaji walijua kabisa kuwa watafanya hivyo.
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Unahitaji miezi mingapi kukamata mfungwa aliyetoroka jela, you damn slow learner
 
Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,
Saa 1 mbona wamechelewa sana? Ilitakiwa akishuka jukwaani akutane na barua kwenye ngazi pale.
 
Nyie endeleeni tu kuchukua makapi toka Simba. Ukicheza na mbwa utaingia naye Msikitini, zeruzeru atawagharimu sana mkiamini mnaikomoa Simba
 
Back
Top Bottom