Haki gani utawala bora gani unaotaka ww vita mauajiSasa jifunze kuheshimu utawala bora na haki za binadamu
Kwani mlivyopoka ushindi wa wapinzani kwenye uchaguzi ndo utawala bora??Haki gani utawala bora gani unaotaka ww vita mauaji
Kwani zinatoka kwa baba yako?Nani kakwambia mnaweka umeme kwa hela zenu???? Huko Lumumba mbona ni vilaza Sana. Sasa jiandae kuna la ICC huko ndo mtaita Maji mmaaaaaa
Ulienda piga kura watu wanataka mabadiliko ya kweli na sio upinzani uchaguzi ule mlipata viti vingi hamkufanya lolote ndio mnataka inchiKwani mlivyopoka ushindi wa wapinzani kwenye uchaguzi ndo utawala bora??
Kwa iyo unataka kusema kuiba kura na kuwaua wapinzani ndo tabia zetu kilaza wewe?Wacha wakae na misaada yao, yaani wanatoa misaaada kwa lengo la kufundisha tabia na sio maendeleo ya watu na nchi?
Ni ujinga kuendelea kufundishwa tabia wakati tupo huru kwa zaidi ya miaka hamsini.
Wajinga wanaotaka kujifunza demokrasia za huko na tabia zao mbaya kama Lisu wakakae huko na wapewe nafasi za kuwaongoza huko,
Sisi tuantaka nchi inayo jitegemea na sio kutegemea misaada na kufanywa wajinga ilihali maligafi wanategemea kutoka kwetu.
Ndio hivyo. Misaada inapokatwa anayeathirika pakubwa sio Rais na genge lake. Infact wao hutumia hiyo vacuum kupiga pesa ndefu huku nyie mkikosa hadi condom na ARVWaathirika wakuu ni wananchi na sio vibaraka na wapambe..
Wenye akiri kama ako na za Lisu ndo mnawaza kupewa vya bure na ndo maana mnataka haki za mashoga ili mlegezwe viunoNchi utasogeza mbele kwa kuuza marinda yako?wakati zaidi ya asilimia 45 ya bajeti ya nchi inategemea nchi wahisani
Na Wewe umegeuka??
Kama hatukufanya lolote kwa nini mliiba kura na ushindi wetu???Ulienda piga kura watu wanataka mabadiliko ya kweli na sio upinzani uchaguzi ule mlipata viti vingi hamkufanya lolote ndio mnataka inchi
Chapa kazi meku usiendekeze mbege!Mafi yako ewe lumumba
Kama ungekuwa uchaguzi huru na wa haki kusingekuwa na haya tunayojadili sasa.Sasa Wananchi tayari wamesha mchagua Magufuli na Wabunge,kwani huo siyo uhuru wa kuchagua!?
Mtaabika mpaka na wazungu wenu. Tuliawaibisha kwenye korona na sasa wataibika hata katika hili. Tanzania ni nchi nyingine. Tanzania haijawahi kuwalamba miguu mabeberu tangu enzi za Nyerere. Uchumi wa Tanzania ni diversified. Tuna activities nyingi sana zinachochangia kwenye pato la taifa. Uchumi wa Tanzania asilimia kubwa uko mikononi mwa wazawa hauko kwenye makampuni ya kigeni.Mpaka Leo najiuliza magufuli aliogopa nini kwenye uchaguzi mpaka kuchafua uchaguzi kiasi kile.?
Yaani Bora wale waliokamatwa na zile kura feki wangefunguliwa mashtaka.kidogo ingekuwa afadhali.lakini mnawalinda kwanini mnawalinda?
Wenye akili kama zenu ndo wakata viuno humuWenye akiri kama ako na za Lisu ndo mnawaza kupewa vya bure na ndo maana mnataka haki za mashoga ili mlegezwe viuno
Kwa nini mnaenda kutembeza bakuli kuomba hela Ulaya kuwa Tanzania kuna covid Kama hampendi vya bureWenye akiri kama ako na za Lisu ndo mnawaza kupewa vya bure na ndo maana mnataka haki za mashoga ili mlegezwe viuno