Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kumbe Tanzania ilikubali msaada wa Euro Mil 27 za mabeberu za Covid-19 September hii. Sasa wanataka kujua kwa nini Tanzania ilipewa msaada huo wakati wamesema Corona haipo. Na pia wanataka kujua zimetumika vipi?
Sehemu tulitumia kununua majeneza ya waliokufa kwa Covid-19 kwa kuwa maiti hazikupewa familia. Sehemu tulitumia kwenye uchaguzi.

Kiendacho kwa mganga hakirudi, wanatudai?🙂
 
Pesa imepigwa juu kwa juu na CCM kienyeji kwa njia haramu za kishetani kudidimiza demokrasia kuubaka uchaguzi kuulawiti kunajisi uchaguzi mkuu
 
Kumbe Tanzania ilikubali msaada wa Euro Mil 27 za mabeberu za Covid-19 September hii. Sasa wanataka kujua kwa nini Tanzania ilipewa msaada huo wakati wamesema Corona haipo. Na pia wanataka kujua zimetumika vipi?
Sehemu tulitumia kununua majeneza ya waliokufa kwa Covid-19 kwa kuwa maiti hazikupewa familia. Sehemu tulitumia kwenye uchaguzi.

Kiendacho kwa mganga hakirudi. Wanatudai? Tutawalipa SGR ikianza kufanya kazi🙂
 
Lazima niogope tumekula pesa zao €27m tukiwadanganya za korona wakati serikali imesema hatuna korona tutazilipaje.
Yaani ulipewa ela ule tu au ulipewa ela ili uidhibiti korona!?

Sasa kama walitegemea watoe ela tuzitafune ili tuendelee kuwaomba basi imekula kwao. Sisi hatufanyi ujinga huo.

Kama kweli wana nia njema na watanzania ama waafrika au hata wananchi wa kipato cha chini na kati ulimwenguni walitakiwa kuja Tanzania na kujifunza namna Tanzania ilivyotokomeza Korona bila mbwembwe.

Bahati mbaya sana mleta mada na timu yake wanashangili kuwa eti tulikosea kutumia ela hizo kudhibiti korona badala ya kuzitafuna na kisha baadaye uchumi wetu udidimie na tuendelee kuwa omba omba wa ela za EU!! Na hii timu ndiyo inajinasibu kuwa na 'akili kubwa' ! Hatari sana hii !!!
 
Wamezivuta vipi hali hakuna covid. Jiwe Kama ni mbabe awe anakataa kupokea pesa na sio kuwananga mabeberu lkn pesa zao haachi
CCM wanakula pesa nyingi sana za wazungu wakati wanaziomba huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu ufisadi wizi wa CCM ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Sehemu tulitumia kununua majeneza ya waliokufa kwa Covid-19 kwa kuwa maiti hazikupewa familia. Sehemu tulitumia kwenye uchaguzi.

Kiendacho kwa mganga hakirudi. Wanatudai? Tutawalipa SGR ikianza kufanya kazi🙂
Pesa ya corona imetumika kunajisi kuubaka kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Kuna Maabara ya COVID Mabibo iko full nondo kila kitu, hivyo sidhani kama ni ngumu kwa Serikali kuelezea jinsi ilivyotumia fedha kama ni kweli ilipokea msaada kwaajili ya kudili na COVID, ...
Kwa nini hakuna data?...na kwa nini hatufuati conditions za mkopo?
 
Alifeli kivipi ? Wananchi tumemchagua wenyewe. Nyerere walimsusia mabeberu mbona tuli survive ? Hizo ni porojo tu.
Alifeli Sana huu uchaguzi.
Watu wanaompongeza magufuli Wana Pata wapi nguvu za kumpongeza?
 


Haaaa haaaa na maombi ya nguvu yalifanyika,sasa jiulize fedha za Corona zilikwenda wapi ?.
 
Wataka kujua sasa? Ushazila!
Anazo pesa nyingi kapiga kwenye ununuzi wa Ndege na 10% kwenye miradi yote mikubwa hajazimaliza zipo stoo kwenye makabati atazichukua kisha kuzuga kuwa pesa za corona zipo hawajazitumia kabsa zipo zimekaa Bank
 
Wamezivuta vipi hali hakuna covid. Jiwe Kama ni mbabe awe anakataa kupokea pesa na sio kuwananga mabeberu lkn pesa zao haachi
Hizi pesa zilikuwa msaada! Japo mabeberu wengi walitaka kukopesha. We made a great move mkopo tulikataa ila kama ni msaada.. you will only be a fool not to accept.

Kitu ambacho watu wengi Watanzania hatufahamu.. Huko nje people are filthy rich (ninamaanisha cash rich) kwa wataalamu wa maswala ya fedha wanajua Cash is a burden.. unless it generates income kupitia loans.

Wanachoahangaika nacho world wide ni fedha yao wataikopesha wapi.. tunapokataa mikopo inawafrustrute sana... Mabeberu.. sasa mtu amekupa msaada halafu analalamika hukua na shida.. msaada wenyewe fedha.. 🙂

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Issue sio madhara ya covid issue ni condition za msaada kuwa unatakiwa utoe takwimu na pia kufuata masharti ya WHO. Kwahiyo anashangaa basis gani inatumika kuwapa msaada ilihali hawatoi ushirikiano?
Ama kuna provision bila limitation na condition?
 
Hata kama beberu linatoa harufu gani kwa maguuufull anachukua pesa yake bila shida
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu wa CCM ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Haaaa haaaa na maombi ya nguvu yalifanyika,sasa jiulize fedha za Corona zilikwenda wapi ?.
Pesa za corona ndiyo imetumika kudidimiza demokrasia kuiba kura uchakachuaji kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…