Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Usijiamini kwa kiwango Hilo ilihali Mambo yamekuwa Mambo! Ungetulia kwanza ili ushauri njia mbadala za namna ya kuziba hayo mapengo yaliyokuwa yanachangiwa na wahisani badala ya kubweka kipuuzi! Na kwa hakika washauri na au mashabiki wa aina yako mlitakiwa muwekwe rumande kwa makosa ya kushabikia upuuzi wa uchaguzi!
Hamna kitu hapo!

Kila kitu kitakuwa powa kabisa haya makelele ya washindwa kila kona yapo
 
Kwa hiyo wewe unafikiri mmepewa bure....jiongeze
Uzuri ni...

Wakituweza kwenye hili... somo linakuwa Tusipende vya bure..Tukiwaweza somo kwao wasipende kutoa toa vya bure.

You can't just bend your #ss whenever someone offers you things! And if anyone is giving sh*t for free (na namuweza) am taking... u will be a fool to pass the opportunity!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Tanzania ilikubali msaada wa Euro Mil 27 za mabeberu za Covid-19 September hii. Sasa wanataka kujua kwa nini Tanzania ilipewa msaada huo wakati wamesema Corona haipo. Na pia wanataka kujua zimetumika vipi? Moja ya masharti ya kupewa pesa hizo ni pamoja na kutoa statics za ugonjwa na kufata maelekezo ya WHO ambapo Tanzania hawafati. Ila swali pia kwa serikali yetu kwa nini wanachukua pesa za mabeberu wanaowapiga vita? Au ndio ule msemo usemao ''Baniani mbaya kiatu chake kizuru'' Basi tutakuwa wanafiki. Na kwa nini hata sisi watanzania hatujatangaziwa kama misaada imetolewa na mabeberu? Zaidi ya serikali kutupa wananchi tu picha ya kwamba tuendelee kuwachukia mabeberu.

Angalia hapa chini VIDEO Rais wa Bunge la EU anavyolaani utawala wa awamu ya tano ikiwa ni pamoja na kuwakandamiza watetea haki, wapinzani na kutolinda demokrasia. Hivyo amesema Umoja wa Ulaya utabadilisha siasa yake kuhusu Tanzania ili isipewe misaada moja kwa moja kwa serikali.

Msaada umetumika kwenye mambo mengine ova
 
Msingekuwa mnaleta hizo habari hapa tena kwa Kiswahili, mngeweka links za mainstream media, hiyo ni talk shop tu hakuna chochote hapo, ...
Umeongea vizur sema nn edit kaneno hako bas!! ** talk shop** ndo nn ataukisikia mabeberu atuwapend ila lugha zao ziheshimiwe tafadhar
 
Pesa za corona imepigwa na CCM kwa njia haramu za kishetani
 
Ukiona haitangazwi na mainstream media ujue siyo muhimu, umeona Bobi wa Uganda yuko all over main stream media, ...
Kwa taarifa yako mwizi anaye kimbizwa kimya kimya ujue lengo ni kumuua kabisa.
Hivyo hii hali sio ya kudharau, hawa EU wanataka kutuua kabisa
 
Hizi pesa zilikuwa msaada! Japo mabeberu wengi walitaka kukopesha. We made a great move mkopo tulikataa ila kama ni msaada.. you will only be a fool not to accept.

Kitu ambacho watu wengi Watanzania hatufahamu.. Huko nje people are filthy rich (ninamaanisha cash rich) kwa wataalamu wa maswala ya fedha wanajua Cash is a burden.. unless it generates income kupitia loans.

Wanachoahangaika nacho world wide ni fedha yao wataikopesha wapi.. tunapokataa mikopo inawafrustrute sana... Mabeberu.. sasa mtu amekupa msaada halafu analalamika hukua na shida.. msaada wenyewe fedha.. 🙂

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Aaah baniani mbaya
 
Amani iwe nanyi tena wadau!!

Nimetoka kutazama mjadala mzito unaoihusu Tanzania katika Kamati ya Mambo ya Nje Bunge la EU.

Napenda tu kusema yafuatayo

1. Tanzania tuna hali mbaya sana. Wajumbe wa kamati hii wameijadili vibaya sana Tanzania na wengine kupendekeza hatua kali zaidi zichukuliwe juu ya Tanzania ikiwemo kuondoa kabisa misaada yote ya kifedha kwa Tanzania

2. Mwenyekiti wa Kamati ametoa maelekezo umoja wa Ulaya sasa iuangalie Tanzania kwa jicho makini zaidi na kufuatilia kwa makini zaidi juu ya Tanzania na hali ya kutisha ya Haki kukandamizwa kwa Haki za binadamu na utawala Bora kunakoendelea Tanzania

3. Wamehoji hadi Kwa nini walitoa hela za ku support harakati za covid na wamembana afisa wao kuwa walitumia vigezo gani kutoa hela hizo wakati TanZania haifuati maelekezo ya WHO na wametangaza kuwa wako covid free

4. Wamemuamuru afisa wao anayejishughulisha na Tanzania kutoa maelezo ya uhakika juu na kwa nini walitoa hela kwa Tanzania na kwa nini hawajafuatilia hizo hela zimetumika kwenye nini?????

5. Wamesema sasa waangalie kwa namna gani watatoa msaada wao na hela zao kwa vyama vya siasa vinavyotetea demokrasia na watetezi wa Haki za binadamu waliopo Tanzania na sio kutoa tena hela kwa serikali.


Sasa kama EU wametoa maelekezo haya sijui ICC watasemaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba waliopo kwenye list ya ICC wajiandae tu
Natamani sana mpigwe pini za kutosha hadi mtuheshimu tuliozamia nje kuwa tulifanya hivi kwa sababu za kupata maisha yenye uhuru.
 
Uzuri ni...

Wakituweza kwenye hili... somo linakuwa Tusipende vya bure..Tukiwaweza somo kwao wasipende kutoa toa vya bure.

You can't just bend your #ss whenever someone offers you things! And if anyone is giving sh*t for free (na namuweza) am taking... u will be a fool to pass the opportunity!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
..Exactly
 
Ngoma inogile!

Hapo pia kuna uwezekano wa nchi moja moja kuja na maamuzi yake mbali na yale yatayokubaliwa na EU.

Bado US nao kukamilisha shughuli.

Sitashangaa Benki ya Dunia nayo ikasitisha kutoa mikopo.

Sasa itakuwa ni zamu yao kuandamana kwenda Ulaya na Marekani kutafuta suluhu.

Kweli kadri giza linavyozidi, ndivyo nuru inakaribia.

Je, kuna watu watapigwa chini katika kutafuta suluhu na kuridhisha wahisani?Tusubiri.

NB:Media za kibongo haziwezi kutangaza hizi habari, na hata wakitangaza, basi itakuwa ni kwa kugusigusia tu tena kwa uoga mwingi-ndio tulipofika na sio kosa lao.
Kuna mpuuzi mmoja anajiita Milard Oyo sasa kutwa YouTube anaonyesha vurugu za Uganda wakati wa uchaguzi wa Tanzania alikuwa kimya
 
Usiwe kajinga kiasi hiki,

Kwa sasa hivi hamna la kufanya zaidi ya kubweka ili wazungu wasikie mayowe yenu.

Na bado hadi akili ziwakae sawa wajinga nyie.

Dada KAYAFA hajakupa miwaya kweli maana hizi akili zimeliwa vibaya sana
 
Huo ni mhimili mmoja wa bunge la umoja sio serikali au mabunge binafsi ya nchi individual husika

Mabunge ya nchi individual husika hayajatoa tamko. Ni sawa na sisi bunge la Africa Mashariki litamke ohh marekani iwekeeni vikwazo !!! Who cares Nchi zetu zina mabunge binafsi ya kila nchi maamuzi yao ndio yangekuwa na uzito lakini pia sio kivile sababu ni mhimili mtegemea maamuzi ya serikali husika si kila wanachoshauri lazima serikali husika zitilie maanani

Bunge la ulaya you are hopeless and stupid puppets of Amsterdam go to hell
 
Aaah baniani mbaya
....Kiatu chake dawa! Na hiyo aplies to them..wanahitaji Afrika ikope, na wanahitaji cheap labour na Masoko.

The haves and the have-not needs each other.. TZ tunachopigania ni upande tu.. Na sisi tukue tuwe tunatafuta pa kukopesha na cheap labour na Masoko kama wao.

Ili na wao siku moja isiyokuwa na Jina tuwape apartment upanga wakati wanajipanga kwenda kulinda interest zetu huko kwao...

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom