Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajifanya maskini jeuri baba BashiteKumbe Tanzania ilikubali msaada wa Euro Mil 27 za mabeberu za Covid-19 September hii. Sasa wanataka kujua kwa nini Tanzania ilipewa msaada huo wakati wamesema Corona haipo. Na pia wanataka kujua zimetumika vipi? Moja ya masharti ya kupewa pesa hizo ni pamoja na kutoa statics za ugonjwa na kufata maelekezo ya WHO ambapo Tanzania hawafati. Ila swali pia kwa serikali yetu kwa nini wanachukua pesa za mabeberu wanaowapiga vita? Au ndio ule msemo usemao ''Baniani mbaya kiatu chake kizuru'' Basi tutakuwa wanafiki. Na kwa nini hata sisi watanzania hatujatangaziwa kama misaada imetolewa na mabeberu? Zaidi ya serikali kutupa wananchi tu picha ya kwamba tuendelee kuwachukia mabeberu.
Angalia hapa chini VIDEO Rais wa Bunge la EU anavyolaani utawala wa awamu ya tano ikiwa ni pamoja na kuwakandamiza watetea haki, wapinzani na kutolinda demokrasia. Hivyo amesema Umoja wa Ulaya utabadilisha siasa yake kuhusu Tanzania ili isipewe misaada moja kwa moja kwa serikali.
Hawezi kukataa maana hazina kweupeWamezivuta vipi hali hakuna covid. Jiwe Kama ni mbabe awe anakataa kupokea pesa na sio kuwananga mabeberu lkn pesa zao haachi
Unawaita hopeless wakati unakula pesa zao ulidhani wajinga lazima mzitolee maelezo.Huo ni mhimili mmoja wa bunge la umoja sio serikali au mabunge binafsi ya nchi individual husika
Mabunge ya nchi individual husika hayajatoa tamko. Ni sawa na sisi bunge la Africa Mashariki litamke ohh marekani iwekeeni vikwazo !!! Who cares Nchi zetu zina mabunge binafsi ya kila nchi maamuzi yao ndio yangekuwa na uzito lakini pia sio kivile sababu ni mhimili mtegemea maamuzi ya serikali husika si kila wanachoshauri lazima serikali husika zitilie maanani
Bunge la ulaya you are hopeless and stupid puppets of Amsterdam go to hell
True soon tutakuwa dona kantri upinzani walichelewesha maendeleo in jiwes voice....Kiatu chake dawa! Na hiyo aplies to them..wanahitaji Afrika ikope, na wanahitaji cheap labour na Masoko.
The haves and the have-not needs each other.. TZ tunachopigania ni upande tu.. Na sisi tukue tuwe tunatafuta pa kukopesha na cheap labour na Masoko kama wao.
Ili na wao siku moja isiyokuwa na Jina tuwape apartment upanga wakati wanajipanga kwenda kulinda interest zetu huko kwao...
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Swali gani sasa hili mkuu, si kila uchaguzi wanashindaHivi ccm iliwahi kushinda uchaguzi upi?
Naona wameanza na mambo ya TIN namba sijawaona popote mtumishi awe na tin.Hawezi kukataa maana hazina kweupe
Wenzetu wamesema kaaata.Wa buku saba kazi ndio inaelekea ukingoni hivyooo
KimenukaaaaaaKumbe Tanzania ilikubali msaada wa Euro Mil 27 za mabeberu za Covid-19 September hii. Sasa wanataka kujua kwa nini Tanzania ilipewa msaada huo wakati wamesema Corona haipo. Na pia wanataka kujua zimetumika vipi? Moja ya masharti ya kupewa pesa hizo ni pamoja na kutoa statics za ugonjwa na kufata maelekezo ya WHO ambapo Tanzania hawafati. Ila swali pia kwa serikali yetu kwa nini wanachukua pesa za mabeberu wanaowapiga vita? Au ndio ule msemo usemao ''Baniani mbaya kiatu chake kizuru'' Basi tutakuwa wanafiki. Na kwa nini hata sisi watanzania hatujatangaziwa kama misaada imetolewa na mabeberu? Zaidi ya serikali kutupa wananchi tu picha ya kwamba tuendelee kuwachukia mabeberu.
Angalia hapa chini VIDEO Rais wa Bunge la EU anavyolaani utawala wa awamu ya tano ikiwa ni pamoja na kuwakandamiza watetea haki, wapinzani na kutolinda demokrasia. Hivyo amesema Umoja wa Ulaya utabadilisha siasa yake kuhusu Tanzania ili isipewe misaada moja kwa moja kwa serikali.
Kutakuwa na gharama za TIN no mkuuNaona wameanza na mambo ya TIN namba sijawaona popote mtumishi awe na tin.
Tuambieni pesa za Covid19 mmezipeleka wapi?Kuna watu humu ndani wanajeshi kuiombea nchi mabaya na ikwame....ila nchi haitakwama na tutasonga mbele tena kwa speed nzuri tuu.
Tusione kisingizio tena cha ukwamisho wa maendeleo mpo wenyewe bila wapinzani sasa pigeni kazi ili tuanze kula mara 6 kwa siku toka mara nne kwa wikiKuna watu humu ndani wanajeshi kuiombea nchi mabaya na ikwame....ila nchi haitakwama na tutasonga mbele tena kwa speed nzuri tuu.
If you can Imagine it, You can achieve it.True soon tutakuwa dona kantri upinzani walichelewesha maendeleo in jiwes voice
Utaisoma wewe na familia yakoSafi kabisa. Tutaisoma namba vizuri
Nadhani kuwabaini walioshindwa kulipa Kodi baada ya biashara kufa so kupitia mshahara watakata madeni yao.Kutakuwa na gharama za TIN no mkuu
So ours is not a sovereignty state?!Nafikiri unaongea tu kwa kufuata mkumbo, sidhani kama unafahamu hata maana ya neno "Sovereignty".
How can you claim sovereignty when you can't stop roaming around with an empty bowl begging for food?
A sovereign state is the one that is capable of governing herself without depending on the handouts from a foreign country, Tanzania deserves no that status.