Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Watanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako,ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo,vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...
Sisi hayatuhusu, shauri yao wanaotembea na ma V8, wameza ARV. Sisi hatuhitaji.
 
Sihabikio hili jambo. Ila istead ya kutoa blah blah hapa. Sijui tulifanya hiv ..tulidanya vile.
Weka in details kila kiasi kilienda wapi kwa kwa matumizi gani. Na je mafanikio gani yalipatikana?
 
Swali langu ni moja tu,kama vipimo vilikuwa ni fake na vinazuia kutii masharti ya EU pamoja na WHO kwa nini wachukue hela za watu ambazo hawawezi kutii masharti yake?Huo siyo wezi?Huo siyo ufisadi?
Na kwanini EU walitoa hizo fedha wakati walijua kabisa Tanzania imevikataa vipimo feki na imeamua kwenda na maombi kwa Mungu?
 
Hatutishiwi Nyau Sisi waende huko na vimsaada vyao vya kipumbavu!!!
 
Wamezuia 1.6T pekee. I believe Serikali ‘tajiri’ ya Magufuli can cope without hiyo amount.

Hiyo amount si hata Bilionea Laiser anaweza kumpa Magufuli?[emoji4]
Laizer hana 1T hajawahi hata kufika. Yuko kwenye Billions. Which kwa serikal ni hela ndogo.
 
kuanzia leo Lisu anatakiwa awe anaitwa Chifu Mangungo Tundu Lisu na Amsterdam awe anaitwa Karl Peters Amsterdam tukiwajadili humu jamii forums
Mkuu achana na tototundu ni kichaa tangu akiwa primary
 
Ila mkuu wakipiga pini hakuna rangi tutaacha kuona sisi wananchi, ni vyema wakiweza wangedili na hali hii bila kuumiza uchumi wa nchi. Tutaumia sisi huku walengwa wanakula maisha
Wanajua watakaoumia ni wananchi, hivyo inatengenezwa chuki, muichukie serikali na viongozi waondoke, kwanini?mpo comfortable sana
 
Sawaa
 
Lazima sana. Kwa mliyoyafanya kwenye uchaguzi na ujinga mnaoendelea kuufanya lazima tuwaombee mabaya tu
Bwana mimi sijafanya chochote hapo na sihusiki kwa lolote. Angalizo tu maana siasa za Africa zinajulikana, unaweza kuishia kupata msongo wa mawazo wakati wa kusubiri hivyo vikwazo.
 
SAWAA.ngoja tuone Kati ya Nazi na jiwe kipi kitaanza kuvunjika
 
Bora wewe uliyeona zikichomwa Moto.
NEC wao WANAKATAA kabisa HAKUNA kura feki.
Hivi Kuna watu waliokamatwa na kura feki? Ulifanikiwa kuona hata sura ya mtu mmoja? Mimi niliona tu mabegi ya kura feki then nikaona ushahidi wa kura feki unachomwa Moto.
 

Sawa tumekusikia, tutazirudisha kwani dola milioni 20 ni kitu gani?
 
Bwana mimi sijafanya chochote hapo na sihusiki kwa lolote. Angalizo tu maana siasa za Africa zinajulikana, unaweza kuishia kupata msongo wa mawazo wakati wa kusubiri hivyo vikwazo.
ok
 

Basi tutazirudisha hizo milioni 20, ...
 
Na kwanini EU walitoa hizo fedha wakati walijua kabisa Tanzania imevikataa vipimo feki na imeamua kwenda na maombi kwa Mungu?
Hili ndiyo swali ambalo rais wa EU leo amemuuliza mhusika wa fedha za COVID-9 za Tanzania ambapo mhusika huyo alishindwa kabisa kujibu akaambiwa kuwa ana masaa 48 kujibu kwa njia ya maandishi.

Lakini kitendo hicho cha Tanzania kupewa fedha ambazo haziwahusu na kuzipokea wakati wanajua kabisa siyo haki yao hakiifanyi Tanzania kuwa ni mwema na hana hatia kwa sababu moja ya wajibu wa Tanzania kwa EU ni kuwa mwaminifu katika masuala yote ya fedha kutoka kwa mshirika huyo na hapa Tanzania imevunja uaminifu huo kwa kupokea fedha ambayo siyo yake na kuifanyia ufujaji.
 
Mlimchagua ndio lakini hakuwaamini ndo maana akabust na kura feki.
Na hapo ndipo alipofeli.
Alifeli kivipi ? Wananchi tumemchagua wenyewe. Nyerere walimsusia mabeberu mbona tuli survive ? Hizo ni porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…