Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Kwahiyo we umefurahishwa na habari hii!?Ngoma inogile!
Hapo pia kuna uwezekano wa nchi moja moja kuja na maamuzi yake mbali na yale yatayokubaliwa na EU.
Bado US nao kukamilisha shughuli.
Sitashangaa Benki ya Dunia nayo ikasitisha kutoa mikopo.
Sasa itakuwa ni zamu yao kuandamana kwenda Ulaya na Marekani kutafuta suluhu.
Kweli kadri giza linavyozidi, ndivyo nuru inakaribia.
Je, kuna watu watapigwa chini katika kutafuta suluhu na kuridhisha wahisani?Tusubiri.
NB:Media za kibongo haziwezi kutangaza hizi habari, na hata wakitangaza, basi itakuwa ni kwa kugusigusia tu tena kwa uoga mwingi-ndio tulipofika na sio kosa lao.
Mduanzi kweli we!