Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Ngoma inogile!

Hapo pia kuna uwezekano wa nchi moja moja kuja na maamuzi yake mbali na yale yatayokubaliwa na EU.

Bado US nao kukamilisha shughuli.

Sitashangaa Benki ya Dunia nayo ikasitisha kutoa mikopo.

Sasa itakuwa ni zamu yao kuandamana kwenda Ulaya na Marekani kutafuta suluhu.

Kweli kadri giza linavyozidi, ndivyo nuru inakaribia.

Je, kuna watu watapigwa chini katika kutafuta suluhu na kuridhisha wahisani?Tusubiri.

NB:Media za kibongo haziwezi kutangaza hizi habari, na hata wakitangaza, basi itakuwa ni kwa kugusigusia tu tena kwa uoga mwingi-ndio tulipofika na sio kosa lao.
Kwahiyo we umefurahishwa na habari hii!?
Mduanzi kweli we!
 
Tanzania ni nchi huru tena tuna maamuzi yetu hatupangiwi na nchi yoyote
Kwani lazima kupokea msaada kutoka ulaya hawawezi kupewa nyama vya upizani hizo hela zitapitia wapi kwanza
 
Naona unasaka Uteuzi kwa njia haramu za kishetani hutakaa upate uteuzi milele kwa kufagilia uchaguzi mkuu haramu uliobakwa kunajisiwa na kulawitiwa na CCM kwa njia haramu za kishetani
Mkuu pole Sana inaoneka usumbuliwa na njaa Sana na ndo Maana muda wote unawaza uteuzi tu.
Ok hayo mawazo yako lakini na sidhani Kama yana aksi uhalisia.
 
Sikumpigia kura JPM. Uchaguzi umekwisha, kama ilishindikana kusimama na Tl wakati yupo nchini basi tukafanye kazi kwa ajili ya familia zetu, hakuna ugali wowote wa viongozi utakaomwagika kwa vikwazo, ugali wa JPM na mboga zake utaendelea kuwepo hata vikiwekwa vikwazo. Hata Tl ataendelea kunenepa pamoja na vikwazo tutakavyowekewa.
hata kama. vikwazo vije tu. sisi miafrika ndivyo tulivyo hatuwez kujitawala mpaka tuchapwe.

hatutaki kutawaliwa kijima kimabavu. potelea pote wananchi tutasimama na mabeberu
 
Duuh haki za wanawake na watoto waliokuwa wanakosa dawa na vitanda siyo haki ya binadamu ila nguruwe ila ya wao kukosa malighafi free of chaji ndiyo haki za binadamu...kinachoniumiza ni kuona kuna ambao wanashadadia badala ya kutoa mbinu za kukabiliana na hawa vampires
Anae thamini utu ni bora kuliko anayekurubuni kupenda na kusifia maovu.
 
Tanzania ni nchi huru tena tuna maamuzi yetu hatupangiwi na nchi yoyote
Kwani lazima kupokea msaada kutoka ulaya hawawezi kupewa nyama vya upizani hizo hela zitapitia wapi kwanza
Ha! Chooni je?
 
Kweli wewe ni Mtanzania unapoteza muda wako kushabikia ubaya unaojadiliwa dhidi ya nchi yako?

Kwamba wanaangalia uwezekano wa pesa wanazotoa kama misaada zinaelekezwa mpja kwa moja kwenda kwa vyama vya siasa na mashirika ya kutetea haki za binadamu!!!

Hizo pesa zitaelekezwa kwa mtindo gani wakati kila taasisi inayojipatia kipato ni sharti iweke wazi chanzo cha mapato kwa uendeshaji wa shughuli zake?

Kwa kuropoka kwako tayari sheria nyemelezi itatungwa kudhibiti hizo hela unazozitamani ziingie mikono mwako, kwa vipi unawaamini sana hao ngozi nyeupe bila kurejea malengo ni yapi kuikalia vika nchi yako pendwa kama sio maslahi yao yamekatwa? Unaamini ni ukiukwaji wa haki za binadamu wakati mtindo tunaoenda nao tangu enzi za mababu zetu ulikuwa tena mbaya zaidi kuliko sasa?

The failed addicts are in illusion, all the time you negatively paint and applaud the rouge gangs. Get back to teh drawing board to subdue your lost expectations when peace of mind will prevail in you; it sounds like a barking dog aimed at retarding the milky and honey dreamland.
Wewe pia unawapenda Sana ngozi nyeupe maana kila baada ya neno moja la kisukuma unafatia 40 ya kiinglishi
 
Tanzania ni nchi huru tena tuna maamuzi yetu hatupangiwi na nchi yoyote
Kwani lazima kupokea msaada kutoka ulaya hawawezi kupewa nyama vya upizani hizo hela zitapitia wapi kwanza
Kwa hiyo CCM inaivimbia jamii ya kimataifa?! Ahahaaaaa...haya ngoja tuone mkuu.
Ila ninachojua Ghadafi na Sadam waliwafukua shimoni kama fuko Osama wakamyakua kama mwewe anyakuavyo kifaranga cha kuku huku akiwa maiti tiyari
 
Yule mwenyekiti yuko bold vibaya sana. Amenufurahisha pale aliposema tunawezaje kutoa hela za walipa kodi wa ulaya kwa mtu ambae anadidimiza Haki za binadamu!!
Kweli wazuie mikopo tupate akili
 
Comment yoyote iliyotolewa na EU kuhusu mwenendo wa uchaguzi utatumika kama reference kwenye kesi za ICC. Na hichi ndio kitu kikubwa tulikuwa tunasibiri.
Kama ambao hawakuwepo waliweza kuona uovu uliotendeka,je walioshuhudia kwa macho yao.wanamtazamo gani juu ya waliofanikisha maovu hayo?
 
Wametoa maelekezo...diplomacy haiendi kirahisi kama mnavyotaka. Point kubwa ambayo pia nawaunga mkono, ilikuwa wakashinda kwa asilimia 99.8 hata kwa wabunge?
 
Nyie Lisu kawaambia andamaneni ili hata wazungu watuone basi. Mkaishia kucoment kwenye social media huku mkila ugali maharage kwa shemeji zenu.

Umeona wenzenu wa Bob Wine kule Uganda? Umeona wanajibebisha kwa Amsterdam?
Mkuu haya mambo ni madogo sana. Nyerere alifukuza mabalozi wa huko huko Ulaya kwa akili zao za kikoloni za kipumbavu.

Huwezi kuipangia nchi huru ifanye nini na isifanye nini. Magufuli kiburi anacho cha kutosha tu.
 
Wametoa maelekezo...diplomacy haiendi kirahisi kama mnavyotaka. Point kubwa ambayo pia nawaunga mkono, ilikuwa wakashinda kwa asilimia 99.8 hata kwa wabunge?
Upinzani unaotoka nje kila inapoletwa hoja ya maana bungeni kushindwa ulivyoshindwa sio jambo la ajabu.

Upinzani unaosusa kijinga tu kupigwa chini na wananchi lilikuwa ni jambo la wakati tu.

Magufuli alieleweka kwenye kampeni hao wazungu wanakariri maisha wakiongozwa na ego ya kujiona wao ndio binadamu wa kwanza kwa ubora.
 
Acheni kusingizia maadui wa JPM. Kulikoroga mlikoroge nyie alafu lawama muwape wengine...

Ulaya mtetea hoja bungeni kwao ili kuleta ushoga Tanzania hajui kuwa makoa makuu ni Dodoma. Eti eti eti, the regime in Dar es salaam. Na kwa taarifa yako kapuuziwa na wenzake. Na serikali makini itashughulika na nami yuko nyuma ya Zitto, Lissu na group lao la kuichafua Tanzania? Na wataangalia historia nani anawapa kichwa hawa.?

Eti wezake walishi na akili. Fitina na ulozi wewe ndio inaita akili?
 
Back
Top Bottom