Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Wakate tu! Uhuru wetu kwanza mambo mengine baadae!
Uhuru wa CCM na si wa wananchi wote!Wapinzani hawako huru ndani ya nchi yao!Hawatendewi haki katika nyanja nyingi!Kwahiyo mimi kama mtanzania nasema mbinyo uongezwe maumivu tuyapate wote mpaka pale watawala watakapoona kuna haja ya kurekebisha hali ya demokrasia nchini!
 
Hivi wakati wa Kikwete,ushoga ulikuwa ruksa?Mbona hatukuona haya?Acheni kutafuta kichaka cha kuficha madhambi yenu!Watendeeni haki raia wenu wote bila kujali itikadi za vyama vyao!Uobevu wanaopitia wapinzani ndio imetufikisha hapa!
Hata wapinzani wakipewa haki bado kuna wapuuzi wenye kutaka kuiumiza nchi.

Kumbuka maneno ya Marehemu Mugabe aliposema kuwa wazungu wanahoji mbona CCM ipo mpaka leo.

Hawahoji mbona vyama vyao vipo mpaka kesho. Mzungu ukimuogopa sana anataka akupangie mpaka aina ya mashule ya kutumia usiku kitandani kwako.
 
Uchaguzi huu ulikuwa ni uhuni tu. Aibu tupu rais kuchaguliwa kwa kura za kwenye mabegi. Aibu sana huku kazima mitandao eti
Kumuibia kura Mbowe au Mdee? Hakuna kitu kama hicho.

Hayo ya kubambikia kesi na kuua mwalimu mkuu ni mzungu mwenyewe aliyemuua Lumumba miaka ya 1960 mwanzoni.

Mwalimu mkuu ni CIA anayewauwa marais wa dunia ya tatu kadri anavyojisikia.
 
Unalia nini?
 
A bushman era under EU deep concern. We have to prepare ourselves for an economic crisis. Zimbabwe in making with a huge budget deficit in offing.
 
Kama maazimio yenyewe ndo haya basi EU ni wasenge, walitakiwa wateguwe kitendawili cha uchaguzi sio msaada wa corona or human rights, wanazunguka mno bila majibu, human rights ni nyingi mno ambazo serikali inatekeleza vizuri, na chache ambazo hazitekelezwi vizuri, nimeona EU wana jichanganya wenyewe juu ya free and fair election na human rights.
 
Kumbe unajua kuwa wapinzani hawatenewi haki?

Bora tuumie wote,sio kila siku wanaumia wafuasi wa upinzani kwa kutekwa,kupigwa,kubambikiziwa kesi,kupigwa risasi,kufungwa na hata kuuwawa!

Walau mbinyo ukiendelea kuwa mkali,wote tutapata maumivu!Na hiyo kwangu ni sawa mpaka pale uhuru na haki vitatamalaki kwa wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa!



Ni zaidi ya miezi minne sasa akina Nusrat Henje wako mahabusu kwa kuimba "mungu ibariki chadema......",wakati uvccm hakuna aliyeguswa japo na wao waliimba "Mungu mmbariki Magufuli. ....."



Bora tuumie wote,waongeze na vikwazo kabisa!
 
NASIKITIKA KUONA WAAFRIKA TULIVYO NA AKILI NYEUSI, NASIKITIKA KUONA HUU MPANGO NI WASISI WENYEWE, KITU CHA AJABU TUNAHISI HAO WHITE WANATUPENDA SANA
Magu kaharibu mwenyewe Tanzania hakuna mshikamano tena aisee, yaani tunaona bora tuungane na wazungu tu haya yote kasababisha mwenyekiti
 
Sasa mwaka huu ndo utajua ICC inachunguza kes

Wapumbavu wamejipendekeza wenyewe hizo pesa ni sawa na Tshs 74Bil tutawarudishia
 
Uchaguzi huu ulikuwa ni uhuni tu. Aibu tupu rais kuchaguliwa kwa kura za kwenye mabegi. Aibu sana huku kazima mitandao eti
Hizo za kwenye mabeki ni siasa chafu tu za kila wakati wa uchaguzi.

Magu alifanya sana kazi miaka mitano iliyopita na wenye kuipenda nchi wameiona hakuwa na haja wala sababu ya kucheza rafu.

Umuibie kura Lissu aliyekuwa kitandani hospitalini tangu 2017 ili iweje.
 
Usicho kielewa hapo ni nini bwashee
 
Naamini wewe mtegemea cha mabeberu utaumia zaidi sisi tunaendelea kupiga kazi kama kawaida.
 
Magu kaharibu mwenyewe Tanzania hakuna mshikamano tena aisee, yaani tunaona bora tuungane na wazungu tu haya yote kasababisha mwenyekiti
Mtanyooka tu kwenye uchaguzi mlikuwa mnajipa moyo mtashinda lakini mkanyoolewa bila wembe! Hata kwenye hili myanyoolewa tu! No way!
 
Malipo ya maovu ni hapahapa duniani. Watueleze hiyo pesa ya Covid-19 iliyosepa kwa sala imeenda wapi au viongozi wa dini walipewa sadaka?
 
Hakuna kitu.
 
Naamini wewe mtegemea cha mabeberu utaumia zaidi sisi tunaendelea kupiga kazi kama kawaida.
Ningekuwa nategemea cha beberu nisingefurahi kuona mbinyo umeanza!Naongeza sauti,mabeberu ongezeni mbinyo,ARV msitoe bure na serikali inunue😁😁!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…