Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Haya ndiyo yalikuwa maelekezo ya umoja wa Ulaya ya matumizi ya fedha za COVID-19 kutoka european union?Yaani wewe badala ya kufuatilia maelekezo ya matumizi ya fedha za COVID-19 kutoka kwa waliotoa fedha zao unafuatilia maelekezo kutoka CCM?[emoji1782]Hakuna COVID ila kuna athari zilizotokana na COVID mfano kushuka kwa mapato kutokana na zuio la usafiri wa anga kwa watalii
Kweli sasa naamini Nuru imekaribia kweli TanzaniaNgoma inogile!
Bado US kukamilisha shughuli.
Sitashangaa Benki ya Dunia nao wakasitisha kutoa mikopo.
Watanyooka tu.
Kweli kari giza linavyozidi, ndivyo nuru inakaribia.
NB:Media za kibongo haziwezi kutangaza hizi habari.
Tangu lini Dona kantri inalilia misaada? Tujiandae Tu maana wanywa ARV wengi wako mjengoni.We msambwanda, kinachokufuruhisha hapo ni nini? Tanzania kukosa misaada kutakusaidia nini?
Kina nani watajua?Nasemaje, mwaka huu ndo mtajua ICC wanasikiliza kesi gani
Hakuna binadamu mkamilifu mkuuKama isivyo rahisi kwetu kutenda madhambi.
Hana akili huyu. Achana naeHaya ndiyo yalikuwa maelekezo ya matumizi ya fedha za COVID-19 kutoka european union?Yaani wewe badala ya kufuatilia maelekezo ya matumizi ya fedha za COVID-19 kutoka kwa waliotoa fedha zao unafuatilia maelekezo kutoka CCM?[emoji1782]
Uhuru fm na Channel Tenumeangalia kupitia chaneli gani mkuu?
Wewe na kina SiroKina nani watajua?
Lakini sii kwa mapungufu ya kibongo.Hakuna binadamu mkamilifu mkuu
TBCumeangalia kupitia chaneli gani mkuu?
Ndiyo maana tunadumaa kifikra kwa kuwaza kila mwenye hoja tofauti nawewe anasupport upande fulani.......Wewe na kina Siro
Naona mengi tuLakini sii kwa mapungufu ya kibongo.
Endelea tu kusema comedy. Wenzako chamwino huko mavi yanagonga pichuAnother comedy from saccos [emoji16][emoji23]
Sinivile wanajua Nchi hii wapumbafu ni wengiHawa watu wanajifanya wasiri sana. Ukisikiliza ule mjadala utagundua kuwa kumbe ni mabingwa wa kutembeza bakuli kwa wazungu wanaowaita mabeberu [emoji23][emoji23][emoji3]