MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Kumbe sio azimio la EU bali maoni ya wabunge wasiozidi watano [emoji41]. Alafu ajabu kuna wapigania demokrasia na uhuru wa maoni ukiwashauri mabandiko yao ya kishabiki huku wakiomba tuchangie mjadala kwa sababu ya video clip bila tamko rasmi la EU wanakublock[emoji41] lakini wanapigania demokrasia na uhuru wa maoni [emoji41].
Ndio maana wengine tunabakia humu JF tu, huko kwingine hawajazoea kuhojiwa kwa hoja na kuishia ku panic tu [emoji23] . Nilifikiri ni wachochezi wa fikra yakinifu kumbe nao wale wale huku Msondo kule Mlimani Park [emoji23]
Ndio maana wengine tunabakia humu JF tu, huko kwingine hawajazoea kuhojiwa kwa hoja na kuishia ku panic tu [emoji23] . Nilifikiri ni wachochezi wa fikra yakinifu kumbe nao wale wale huku Msondo kule Mlimani Park [emoji23]