Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Tanzania ina uwezo wa kuamua mambo yake bila ya kuingiliwa na mtu, mbwa wala paka.
 
Watanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako, ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo, vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...
Mkuu ni kweli tutaumia wote lkn kuna watakaoumia zaidi. Haya yote siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa makisudi kabisa Watawala wetu waliamua kuwaumiza Wananchi wao kwa lengo la kuwakomoa wengine.

Sasa wale waliolengwa kukomolewa wanapoona wabaya wao wamefikia ukomo kwanini wasishangilie??
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi pesa zote za walipa kodi zinatumika kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso kwa wapinzani badala ya maendeleo
 
Tanzania ina uwezo wa kuamua mambo yake bila ya kuingiliwa na mtu, mbwa wala paka.
Mambo yake yenyewe iweje kutwa unaomba misaada kwa Nchi zingine? Hakuna Serikali omba omba kama ya CCM, huomba misaada hata kwa Nchi za kiafrika zenye njaa, mfano ujenzi wa uwanja wa Soka wa Dodoma wameamba msaada kwa Nchi ya Morocco, CCM ni omba omba mno hata wakienda ulaya kutembeza bakuri huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu uonevu ufisadi wa CCM ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
 
Wanawanyima misaada, wanawawekea vikwazo.

Mnakuwa hamkopesheki.

Mkitaka mkopo mnapewa kwa riba za kibiashara.

Hapo ndo mtajua hamjui.
 
CCM lazima yatahonga migodi na vitalu vya uwindaji wa kitalii ili ku neutralise mambo.
Wakuu tusishabikie saana maana maumivu yatakuwa makubwa sana kumbuka hospitalini huko tunawategemea wao sana
 
Mpaka Leo najiuliza magufuli aliogopa nini kwenye uchaguzi mpaka kuchafua uchaguzi kiasi kile.?

Yaani Bora wale waliokamatwa na zile kura feki wangefunguliwa mashtaka kidogo ingekuwa afadhali lakini mnawalinda kwanini mnawalinda?
Mkuu ni wewe umeandika hivi leo? Ama kweli....
 
Mpaka Leo najiuliza magufuli aliogopa nini kwenye uchaguzi mpaka kuchafua uchaguzi kiasi kile.?

Yaani Bora wale waliokamatwa na zile kura feki wangefunguliwa mashtaka kidogo ingekuwa afadhali lakini mnawalinda kwanini mnawalinda?
Alitaka apite kwa kishindo wakati kiuhalisia angepita japo kwa margin ndogo maana pointi yake kubwa ya kupambana na covid na kutumia tu propaganda ya kusema Lissu katumwa vilimpa kura nyingi tu kutok kwa watu wasio na uelewa ambao ndio wengi,lakini pia alikuwa na nafasi ya kupata wabunge wengi kihalali kuliko kubeba hadi mizoga isiyofaa.

Tzn sio kisiwa kwamba dunia ya wazungu haioni hadi kuanza kutafuta ligi na wenye uchumi mkubwa,mbona JK alifanya a little bit fair kipindi EL anagombea sasa yeye huyu ana matatizo gani sijui.Hali ikiwa mbaya ajiandae kubeba lawama hakuna kisingizio cha wapinzani maana wao ndio wanatuaminisha watu kwamba Tzn inauwezo wa kutunisha misuli
 
Leo tunasherekea haya.ila soon mambo yanabadilika na huyu aliepaza saut mpka EU na yeye atakiona cha moto kwaio tujiandae yale yaliotokea libya yanakuja kwa kasi jamani umauti wa watanzania unakuja jamani tena maelfu na melfu tutateketea tutaacha kila kitu
 
Ungeyajua hayo usingekuwa unahujumu haki ya washindani wako maana walikuwa wanaleta sera mbadala ya sera zako lakini kuwahujumu hadi kufikia hatua ya kutaka kupoteza maisha yao ilivuka mpaka,kwa sasa ni kila mtu apoteze na augulie kivyake.
Nyie si mlikuwa mnatuficha na kutudanganya kwamba Tzn ni dona kantri sasa hapa ndio mahala pa kuonesha huo udona cantri badala ya kulia lia,uzuri nikwamba maumivu kila mtu atapata kuanzia huko chamani hadi mtaani
 
Ndiyo maana walikuwa wanawalazimisha cdm kupeleka wabunge wa viti maalum
 
.... kumbe Mpango na timu yake walidaka fedha za COVID-19 huku nchi ikiwa haina COVID. Nchi ya matapeli hii!
Tena ukiacha hizo pesa za EU kuna nchi moja moja zinatoa sana misaada kwa Tzn,watu wengi hawajui moja ya nchi zinazopokea pesa nyingi za msaada hapa afrika Tzn inaweza kuongoza mfano miradi mingi ya maji inafadhiliwa kwa pesa za mkopo wa masharti nafuu au msaada na Ufaransa,Japan inatoa msaada wa directly kwenye miundombinu,nchi za Nordic ziko kwenye elimu na huduma zingine za afya pamoja na marekani.
Wakati wa uongozi wa Bush na Obama Tzn ilipata pesa nyingi zaidi kutoka marekani kuliko nchi zote za kiafrika usiohusisha mambo ya kijeshi kupitia miradi ya power africa,saggot,MCC,pepfar,US Aid nk nk ila toka Magu kaingia kavuruga kila kitu sababu zake hazijulikani .
Madaraja na flyover yote hayo mnayaona ya,coco beach,ubungo,Tazara nk nk yote ni pesa za wazungu
 
Hata mimi nawashangaa CCM, nguvu wangetumia huko zenji huku bara wangeshinda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…