kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kwa vyovyote itakavyo Kuwa wachumia tumbo na walio mshauri vibaya Rais ndio tutalala nao mbele. Hatuwezi teseka ilihali Tunajuwa Rais anawashauri
Hawajui watoto wa juzi hawa. Sasa subiri watie adabuKuna maisha tulipitia miaka ya 80 yalikuwa magumu mno!Na ninaanza kuona dalili za kuyarudia maisha hayo.Na kitu cha ajabu watanzania wengi wamekuwa na kiburi cha shibe wanajiona hawawezi kupata madhara.
Kuna kundi la vijana wamo kwenye siasa sasa hivi,hawakuonja joto la kipindi hicho na hivyo wana nadharia nyingi za darasani na wanajidanganya wanaweza kuzitekeleza katika uhalisia.
Mungu atuhurumie
It's a sovereign state nominally.So ours is not a sovereignty state?!
Kumchinja Askari na kunyang'anya bunduki yake ni tendo la kinyama kabisa..kilichotokea kabla ya tukio hili kamwe hakiwezi kuhalalisha kitendo hiki kiovu na Cha kishetani...na hii siyo Mara ya Kwanza kwa unyama huu kufanyika huko Pemba...kumbukumbu zilizopo ni kuwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 watu kadhaa walivamia kituo Cha polisi huko Pemba wakawachinja polisi wawili Kama kuku wakavunja armoury na kutokomea msituni na silaha kadhaa...kumnyang'anya askari bunduki na kumchinja sio jambo zuri na rahisi, lakini kuna njia yoyote tunayowezakufanya ili kuzuia jambo kama hilo lisitokee? mara nyingi watu hawaongelei matukio yanayosababisha jambo kama hilo la mtu kutokea kumchinja mlinzi wake na mali zake. Kabla ya tukio nini kilitokea?
Kumwita mtu mpumbavu, mjinga and uncilivilized au mshenzi siyo tusi...ni kumwambia ukweli kulingana na matendo yake....ila kumwita mtu mbwa, nyani na matusi ya nguoni hayo ni matusi..Umechanganyikiwa sana unatukana hovyo!
Hii ni dalili ya kukosa hoja.
Hao wazungu waache kabisa mzaha, tunataka wakaze haswaa hadi huyu mtu ajiuzulu, tumechoka kudharauliwa na kufanywa misukule kwenye nchi yetu wenyewe.
Kitendo alichokifanya ni dhihirisho tosha kwamba hana kabisa heshima wala staha kwa wananchi wanaowaongoza.
Huyu hakufaa na wala hafai kabisa kuwa rais wa nchi stahiki yake ilikuwa ni unyapara wa barabara. Very hopeless autocrat.
Nasoma comment tu.Sasa ole wako 'ujitekenye' tu vibaya katika hili kwani hakuna Watu ambao huwa 'hawakurupuki' kusema Jambo kama 'Wazungu' na 'Umezingua' mno.
Acha upumbavu wewe...unafikiri vikwazo ni janga la magufuli na familia yake?Yeye ataishi vzr na hatojiuzuru uraisi...shida ipo kwenu nyinyi raia wa kawaida...Vikwazo ni muhimu ili kukomesha ujinga.
Jaribu kufikiri, je kulikuwa na ulazima gani kupakia kura kwenye mabegi??
Utateketea weweLeo tunasherekea haya.ila soon mambo yanabadilika na huyu aliepaza saut mpka EU na yeye atakiona cha moto kwaio tujiandae yale yaliotokea libya yanakuja kwa kasi jamani umauti wa watanzania unakuja jamani tena maelfu na melfu tutateketea tutaacha kila kitu
Sasa vikwazo vya wazungu vitarudisha kura zilizoibwa au kuongezwa?Vikwazo ni muhimu ili kukomesha ujinga.
Jaribu kufikiri, je kulikuwa na ulazima gani kupakia kura kwenye mabegi??
Hahahah, unatafuta vita na mkulu weweKuna mtu alinunua jogoo kwa Tsh 100,000/= kumbe ilikuwa ni hela za wahanga wa kovidi kumi na tisa si ndiyo?[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1630451
Ameshajijua kwani kwa taarifa yako tu kuanzia Yeye ( Binafsi ) hadi yule Mngoni wake GM na Bonge Dokta HA ni 'Followers' wangu wakubwa JF tu.mkuu unamlenga nan apa